Mwarabu, Mhindi, Mzungu, mwanamke mweupe na jamii hizo njoo hapa upate mume wa ukweli

Mwarabu, Mhindi, Mzungu, mwanamke mweupe na jamii hizo njoo hapa upate mume wa ukweli

gebu

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
402
Reaction score
246
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,

Nina umri wa miaka 28 mwajiriwa, kwa kipindi nimekuwa natafuta mchumba na mke wa kumuoa bila mafanikio. Nimekuja rasmi kwa jukwaa hili kutangaza kwamba hili jimbo ni huru nataka mchumba na mke wa kuoa lakini pia kwa kifupi natamani sana kuoa mwanamke ambaye ni jamii za waarabu, wahindi, wazungu, wanawake weupe sana na jamii hizo umri uanzie miaka 18 mpaka 30 pia awe mrefu wa wastani au mrefu sana maana mimi ni mrefu sana pia ni HB.

Kwa wale ambao mtakua interested mnicheki inbox mje tuchart, tuyajenga na mwisho tuanzishe familia. Kwa wale ambao mtaona nimewakwaza kwa vigezo hivyo nilivyovitaja mnisamehe maana ndio roho inapenda pa1.
 
Hawana maana hao wa jamii hizo, kwanza hawajui majamboz na pili wengi wako 'spoiled', na wana egoes za ajabi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
u-HB na ndoa wapi na wapi?
Anyway mkuu wacha nisikukatishe tamaa brother yako nipo kwenye ndoa tayari nakukaribisha chamani
 
Ungejaribu kuandika na kwa lugha zao huenda wangekusikia na kuja kwa haraka. Lakini kwa Hii lugha uliotumia wanaijua dada zetu kina kiboga na chausiku.
 
Back
Top Bottom