msigazi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 467
- 349
Kwa nchi yetu ilikofika
Inahitajika katiba mpya kwa mstakabali wa nchi yetu
Tumeona mambo yanaenda ndivyo sivyo katika sekta tofauti tofauti hasa kwenye maamzi ya Baadhi ya viongozi
Kuna wengine wanadhalilisha wananchi kwa kuwapiga, kujeruhi, kuua na wengine kudhalilishwa hadhalani kwa kupigwa viboko watu na miji zao kupigwa hii sio sawa
Napendekeza katiba ifanyike kwa kupatikana maoni ya wananchi wote
Na jambo hili lifanyike haraka iwezekanavyo
KATIBA YA NCHI NDIO MWAROBAINI WA MASUALA HAYO YOTE.
Inahitajika katiba mpya kwa mstakabali wa nchi yetu
Tumeona mambo yanaenda ndivyo sivyo katika sekta tofauti tofauti hasa kwenye maamzi ya Baadhi ya viongozi
Kuna wengine wanadhalilisha wananchi kwa kuwapiga, kujeruhi, kuua na wengine kudhalilishwa hadhalani kwa kupigwa viboko watu na miji zao kupigwa hii sio sawa
Napendekeza katiba ifanyike kwa kupatikana maoni ya wananchi wote
Na jambo hili lifanyike haraka iwezekanavyo
KATIBA YA NCHI NDIO MWAROBAINI WA MASUALA HAYO YOTE.