Jamii walker
Member
- Jun 18, 2013
- 39
- 9
Naombeni majibu.. Mana wazanzibari wengi hawajui hiyo historia kwa maana visiwa vya pemba na unguja viliungana lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naombeni majibu.. Mana wazanzibari wengi hawajui hiyo historia kwa maana visiwa vya pemba na unguja viliungana lini?
Kama vipo tangu asili basi kumbe ni kweli historia inavyodai kuwa Tanganyika ,unguja na pemba zilikuwa sehemu moja tangu asili,tumetenganishwa na ukoloniHakuna muungano wa kisiwa cha Unguja na Pemba (Zanzibar) hivi vipo hivi asili na asili ila km ww unaona vimeunganishwa nipe kumbukumbu yyte ile inayosema km hivi visiwa vimeungana!
Me nawashauri kitu kimoja kama mzanzibar na kama mtanzania mzalendo wa nchi yangu.., tuache kasumba na kuongea maneno kwasababu flani kasema hivi basi iwe hivi hivi.