Mwasiti anyang'anywa Benzi alilokuwa akiendesha, mwenyewe azungumza

Aiseeee kweli kuna watu washamba

unaanzaje kumuonga Gari demu kama huyo...huyo jamaa akimpata Huddah Monroe si atamuonga mpaka ndege
Mimi nashamgaa mtaani kuna mademu wakali wao wanahangaika na masupa stat tu !
 
Mkuu usiseme hivyo mdogo wangu,, hivi vimama vyenye sura mbaya hivi huwa vina mambo mkuu asikwambie mtu! Huwa vinanyonya mpaka maviiiiiiiiiii!! Unaweza kuagiza wauze nyumba wakutumie hela kwenye m-pesa mkuu!!
Umenichekesha sanaa
 
Ila maisha haya mungu anatuona tu yaan maana kuna mademu wengne sura nzur na wanashepu nzur sana ila ukimfunua papuch utahisi labda kaazima papuch ya mtu mwingne anaitumia kwa muda. Cha kujifunza mwenye sura mbaya na sura nzur asilimia kubwa papuchi muonekano ni ule ule
 
kwel mapenz sio sura Mtu anakatikiwa paka anatoa benz duh wakat kna kdot ata vitz tu hawajapew
watu wanajituma sana na inatokana na kujua majukumu yao wanapokuwa kwenye hayo maeneo
 
Aiseeee kweli kuna watu washamba

unaanzaje kumuonga Gari demu kama huyo...huyo jamaa akimpata Huddah Monroe si atamuonga mpaka ndege
hawa ndo wanaohonga nyumba wanazokaa wazazi
 
Dah...... Mwasiti.... Ananikosha kwelikweli...sauti yake tu [emoji13]
 
Wanaume wabaya sn. Nilijua hakatagegedwa mpaka ndoa maana ni kitoto ka mchungaji. Mwee
 
Mh, hadi huyu anapigwa benz. Kweli kupenda mastaa ni ugonjwa wa baadhi ya watu
 
ishu za gari sponsor mwambie tu akuchangie ununue mwenyewe, habari za kupeana vitu siku mkitibuana anakupokonya sio ishu,watu wengi wana roho ndogo
 
Ulimfuata baada ya kuambiwa ni fundi wa uroda au alikuvutia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…