Mwasiti kumtangaza mchumba wake

Mwasiti kumtangaza mchumba wake

miss lucy

Senior Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
109
Reaction score
15
Msanii Mwasiti ametangaza rasmi kumtangaza mpenzi wake ikifika mwezi wa tatu.

Ametoa uamzi huo wa kutangaza kutokana watu wengi kumuuliza kuwa ana uhusiano na Sam Missago naye kukataa na kudai ni marafiki kwa takribani miaka saba ,sasa mwezi wa tatu tusubiri kuhusu mpenzi mpya.

Chanzo: FNL EATV
 
mwezi wa tatu mbali mno ngoja nijitangaze mapema ni mimi hapa
 
nimewaona jana, sa sijui wanaficha nini.Pembe la ng'ombe alifichiki
 
nilikuwa nampenda sana huyu binti nilijaribu kufanya harakat hata kuongea nae,nikamtumia email hata kujibu hakuna, mwaka w tano huu tangu nimemtumia frnd request fb. Moyo unauma
 
kwahiyo ana uhakika mwezi wa tatu atakuwa amempata? maana saizi najua yuko single
 
Hahaha kitambo xana nltaka kujua sam anatoka na nani.....duh nw nmepata jibu.....mungu awatangulie tu...
 
pamoja na yote mi bado nipo hoi kwa kwa Mwasiti nafikiri ku resume na zile harakati nikipata likizo nakuja mjini
 
Back
Top Bottom