Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipita hapo juzi naona wanafungafunga,ivi walitoa taarifa ?Sasa yapata wiki Mtaa wa Mwananchi hatupati maji hatuelewi kuna tatizo gani. Mhe. Waziri wa Maji fanya mabadiliko ya haraka katika Mamlaka ya Maji Jijini Mwanza(MWAUWASA) ili wananchi tuwe tunapata maji ya uhakika.
Mwauwasa ni moja ya taasisi mbovu iliyochini ya serikali kwa mfano hapa Buhongwa, Buguku, Sahwa ya juu na chini mitaa yote hii hakuna maji kabsa na wananchi wanapata shida kutafuta maji kwenye mabonde ya mito ili hali ziwa victoria lipo ndani ya KM8.
Limeisha ila ndio mwauwasa hawataki kusambaza maji kwa raiaIle tanki kubwa la maji hapo sahwa halijaisha tu?
Lilikua linajengwa na wachina?