Mweka Training Centre kimesajiliwa na NACTE?

Mweka Training Centre kimesajiliwa na NACTE?

Future eyes

Senior Member
Joined
May 30, 2022
Posts
128
Reaction score
71
Wakuu, naomba kufahamu chuo kimoja kinaitwa Mweka training centre kipo Kimara, Dar na kinatoa kozi za afya. Je, kimesajiriwa na nacte? Na kama kimesajiliwa kwanini wahitimu wake hawakukiona kwenye orodha ya vyuo wakati wa kufanya application za ajira?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu acha kwenda kwenye college za uchochoroni itakuja kula kwako.
 
Back
Top Bottom