Future eyes
Senior Member
- May 30, 2022
- 128
- 71
Wakuu, naomba kufahamu chuo kimoja kinaitwa Mweka training centre kipo Kimara, Dar na kinatoa kozi za afya. Je, kimesajiriwa na nacte? Na kama kimesajiliwa kwanini wahitimu wake hawakukiona kwenye orodha ya vyuo wakati wa kufanya application za ajira?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app