Mweka Training Centre kimesajiliwa na NACTE?

Future eyes

Senior Member
Joined
May 30, 2022
Posts
128
Reaction score
71
Wakuu, naomba kufahamu chuo kimoja kinaitwa Mweka training centre kipo Kimara, Dar na kinatoa kozi za afya. Je, kimesajiriwa na nacte? Na kama kimesajiliwa kwanini wahitimu wake hawakukiona kwenye orodha ya vyuo wakati wa kufanya application za ajira?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo lakini sijakiona ktk nacte guidebook
Inaelekea hicho hakipo kwani hata uki google hupati kitu. Check tena jina la hicho chuo. Vinginevyo ucheki na nacte kuwa na uhakika.
 
Mkuu acha kwenda kwenye college za uchochoroni itakuja kula kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…