Mwakawasila
Member
- Oct 23, 2024
- 23
- 20
MWEKEZAJI Ni mtu Gani ?
Ni mtu anayeenda hatua moja mbele ya Mfanyabiashara
Hapa sifa mojawapo ni kuwa na pesa au mkondo wa kuingiza fedha
Mfano Mimi Nina uwanja sehemu ya soko na Sina uwezo wa kujenga
Namfata mwenye uwezo anajenga Kwa mkataba kwamba achume Kodi Kwa Miaka mingapi baada ya hapo atanirudishia Mali yangu
Natafuta mfanya BIASHARA Asiye na mtaji nampatia Hela yangu arudishe kwa riba
Mkulima Hana Hela ya MBOLEA nanunua mifuko nawakopesha Kwa fedha ya juu
Kwa masomo zaidi huwa nafundisha pia status
Save hii no nicheki pia whatsap Kwa elimu zaidi MWAKAWASILA
0744980339
Ni mtu anayeenda hatua moja mbele ya Mfanyabiashara
Hapa sifa mojawapo ni kuwa na pesa au mkondo wa kuingiza fedha
Mfano Mimi Nina uwanja sehemu ya soko na Sina uwezo wa kujenga
Namfata mwenye uwezo anajenga Kwa mkataba kwamba achume Kodi Kwa Miaka mingapi baada ya hapo atanirudishia Mali yangu
Natafuta mfanya BIASHARA Asiye na mtaji nampatia Hela yangu arudishe kwa riba
Mkulima Hana Hela ya MBOLEA nanunua mifuko nawakopesha Kwa fedha ya juu
Kwa masomo zaidi huwa nafundisha pia status
Save hii no nicheki pia whatsap Kwa elimu zaidi MWAKAWASILA
0744980339