andrew tezie
Member
- Jan 25, 2014
- 13
- 2
Kutokana mwanzo wenye mashaka wa upatikanaji wa katiba mpya huenda Rais Kikwete akakumbukwa kwa moja wapo kati ya kuwa mwanzilish wa kupata katiba hiyo au kuanzisha mtafaruku wa kitaifa.Hii ni kutokana na jinsì CCM walivyooyesha kuwa kinyume na maoni yaliyopatikana.Sasa ukitumika hoja ya nguvu kufanya maoni ya CCM ndiyo yatumike badala ya maoni ya wadau hapo ndiyo mvutano na mfarakano utakapoanzia,mie nina mashaka sana kama tutamaliza salama zoezi hili naomba ufafanuzi.