andrew tezie
Member
- Jan 25, 2014
- 13
- 2
Hivi na wewe unaamini Mawazo ya watu 47,820 walipendekeza Serikali tatu ndio mawazo ya Wananchi million 45?
kwa nini hudhani wale watu zaid ya 50% waliotoa maoni yao bila ya kuzungumzia Muungano maana yake wanakubaliana na hali ya serikal mbili ndio maana hawakuona haja ya kujadili muungano. Kwa namna yeyote ile Mawazo ya watu 47,820 hayawezi kuitwa mawazo ya wanachi walio wengi, tunaweza kuyaita mawazo ya watoa maoni kwenye tume ya Warioba sio Mawazo ya Wananchi wote.
Hivi na wewe unaamini Mawazo ya watu 47,820 walipendekeza Serikali tatu ndio mawazo ya Wananchi million 45?
kwa nini hudhani wale watu zaid ya 50% waliotoa maoni yao bila ya kuzungumzia Muungano maana yake wanakubaliana na hali ya serikal mbili ndio maana hawakuona haja ya kujadili muungano. Kwa namna yeyote ile Mawazo ya watu 47,820 hayawezi kuitwa mawazo ya wanachi walio wengi, tunaweza kuyaita mawazo ya watoa maoni kwenye tume ya Warioba sio Mawazo ya Wananchi wote.