Mwelekeo wa sera za Tanzania kwa kuzingatia maudhui ya Ilani ya CCM ya 2020-2025: Je serikali itaweza kutimiza ahadi hizi zote kwa wakati?

Kosa kubwa naloliona ni wagombea kuibuka na mambo ambayo yatakuwa katika ilani na baadae kushindikana

Suala la elimu ccm mwaka 2015 iliibuka nalo tu halikuwa katika ilani

Saula la bima ya afya nalo likitekelezwa litaleta shida maana hakukuwa na mipango ndio maana naona Dk Gwajima atateseka sana nalo

Afya kwa sasa kunashida kubwa sana naona jambo hili litaleta matatizo baadae .hakuna dawa.watendaji,vifaa, gharama ziko juu

Hizi pesa tunazo peleka katika elimu zingeweza kusaidia kuajiri walimu na kuwalipa na kufanya ujenzi badala serkali kulipambania moja kwa moja
 

Siku mgombea urais wa CCM, DR. MAGUFULI, anatoa ahadi ya bima ya afya kwa wote nilikuwa sebuleni kwangu naangalia tv. Alisema, "sisi tunajua fedha itatoka wapi." Labda tumpe benefit of doubt.
 
Nadhani ikuwa siasa kubeba la lisu na mkufubaza maana anajua kuwa watu wasingeamini lisu atalifanya akaona yeye akisema watamwamini zaidi ya lisu na kiukweli alifanikiwa kikampeini ila kulitekeleza halitekelezeki
Siku mgombea urais wa CCM, DR. MAGUFULI, anatoa ahadi ya bima ya afya kwa wote nilikuwa sebuleni kwangu naangalia tv. Alisema, "sisi tunajua fedha itatoka wapi." Labda tumpe benefit of doubt.
 
Ulichoandika hapa umetumia hisia zako kuliko akili na busara.
Chagga Defense Force ndio utumbo gani?
Suala la udini ndio utopolo mtupu nani anahangaika na viongozi wa dini kila mahali zaidi ya Jiwe?
Try to be objective maturely not just like a little immature girl.
 
Litulize sindano iingie vema
 

Majibu yako ni katika hatua nne.

Kwanza, ni kuhusu unachokiita "Chagga Defense Force." Sijaandiko lolote kuhusu jambo hilo.

Pili, kusema kuwa kulalamikia "suala la udini [katika chadema] ndio utopolo mtupu" kwa sababu ya madai kwamba hakuna mtu "anahangaika na viongozi wa dini kila mahali zaidi ya Jiwe" ni kujaribu kupendekeza kwamba makosa mawili huzalisha haki (two wrongs make a right). Nakakataa itikadi hii.

Tatu, ni kuhusu tuhuma za Chadema kuwa na mpango wa siri wa kuiweka nchi rehani mikononi mwa mabeberu.

Ushahidi huu hapa katika mstari wa mwisho chini ya ukurasa wa 84 wa Ilani ya Chadema ya 2020-2025 ......




Na hoja baki unazolalamikia zitajibiwa baadaye (hapa).
 
Hizo habari zitakuletea chakula ule na wanao
[emoji23]kulinda demokrasia
[emoji1787]kulinda uhuru wa habari
[emoji28]kuheshimu utawala Bora nk. nk.
Hadithi ya kufikirika kwa Jiwe
 
Hiki ulichoandika kinaonesha ni kwa kiasi gani hili hili bandiko UPUMBAVU uliozidi kiwango ...kaongee ujinga huu kwenye kuta za wajinga wenzio sio humu

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
ACHA URONGOOOO!! Admin anatakiwa kukupiga ban kwa kuwalisha wajumbe matango Pori!!!!!

Queen Esther
Malengo ya bima ya afya kupitia NHIF na ICHF tayari yametajwa kwenye nyaraka za serikali kwa kuonyesha workplan ambayo ni time specific.

Najua mengi kuhusu mipango hii na changamoto zake.

Unachokisema wewe hakiendani na maudhui ya nyaraka hizo.

Kubali tu kwamba, Mama Amoni yuko makini.

Karibu Sumbawanga.
Kwetu kuchele!
 
Acha woga mfukuza watumushi hewa yeye mwenyewe anajua kaingia kwa kura hewa
 
Weka hizo nyaraka humu na vipengele vilivyokushinda tukusaidie kutafsiri.

Kama hiyo ni ajira yako na inaonekana hata uwezo wa kufikia umeishia hapo ni bora ukatumbuliwa mapema ukawapisha watu wanaoweza kutafsiri nje ya box na kutengua hizo unazoziita changamoto.

Narudia tena wewe mwanamke MURONGOOO SANA!

Queen Esther
 

Ewaaaaaaaaa hilo ndio lilikuwa jibu sio kujidai kwamba hujui uchaguzi ulikuwa na kasoro za wizi

Serikali inaundwa kwa namna yoyote ile hata kwa kura hewa safi.
 
1. Kumbe wewe ni bonge la kilaza!
2. Ulisema haijawekwa kwenye Ilani sasa tumekuwekea ushahidi umebadili gia hewani.
3. Narudia tena kunukuu "Kuimarisha Mfumo wa Bima nchini IKIWEMO mifuko ya NHIF na CHF... ". Tafsiri ya neno IKIWEMO unaielewa kweli?????

Queen Esther
 
Umeongea vizuri sana hapo uliposema "Lengo la kutoa bima ya Afya kwa wote ni kuhakikisha kwamba huduma za afya zinafika, yaaani ACCESSIBLE HEALTH SERVICES here and now".

Rudi kwenye taarifa ya Utekelezaji wa Ilani hususan ukianza na tafsiri ya neno ACCESSIBLE HEALTH SERVICES.

Kauli hiyo inabebwa pamoja na mengine ni Miundombinu ya sekta ya Afya imeboreshwa kwa kiasi gani? Palipobaki ni padogo sanaaaa!!!! Na Ilani ya CCM 2020 - 2025 imezungumzia vizuri.

Kama hii ni kazi yako utagundua tunazungumzia HUDUMA kama alivyoeleza Katibu Mkuu Prof Mchembe kuwa ni nguzo muhimu sana ktk kufikia Bima ya Afya kwa wote!

Queen Esther
 

Queen Esther,

Tuache sarakasi za maneno.
Wakati nafanya consultancy moja kuhusu namna nzuri ya kutoa bima ya afya kwa wote nchini Tanzania, nilitumia rejea hizi hapa:

Shree Prabhakaran and Arin Dutta (2017), Actuarial Study Of The Proposed Single National Health Insurance Scheme In Tanzania: A Policy Brief.

Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children (2017), The National Health Policy 2017 (Sixth Draft Version)

Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children (2015), Health Sector Strategic Plan July 2015 – June 2020 (HSSP IV)

Jondolar Lambrecht (2017), Universal Health Coverage in Tanzania Evaluating the potential of a PublicPrivate Partnership in Tanzania’s health financing system

Pia, nilipata fursa ya kukutana na Maafisa wa Wizara ya Afya na wawakilishi kutoka Bima ya Afya ya Taifa. Tulijadili mengi. Najua ninachokiongea. Mwulize mwanazuoni yeyote aliyebobea kwenye sekta ya Afya kuhusu nguvu ya tafiti zinazofanywa na Dutta. Ukweli anaousema Dutta na mwenzake unauma!

Achana na longo longo.

Habari za kuwa mnamdanganya Mhe. Jiwe acheni.

Mwelezeni ukweli ili ajipange vizuri.
 
Kama wewe ndio unafanya hiyo consultation ni bora wakuache mara moja maana huna unachoelewa na umekimbilia kudesa andiko hilo moja!

Kama kweli wewe ni mtaalamu tuambie "knowledge gap" kufikia malengo husika.
Rudi kwenye SDG's uangalie mwisho ni lini kufikia lengo hilo kidunia! Hilo andiko naweza kulichambua kwa nusu saa wahusika wote mkapoteana na tukamuomba Rais mrudishe fedha za walipa kodi mlizolipwa vilaza wakubwa mliovamia field!

Queen Esther
 
Shida ya kukatalia tafiti ndio zinaliangamiza taifa
 

Mkuu,
Akikujibu nishitue.
 
Shida ya kukatalia tafiti ndio zinaliangamiza taifa
Mtafiti huyu kakwama kabla hajaanza! Bahati nzuri tumeshamjua na kikosi chake na ushauri wao wa hovyo wa kuhusu Social Security nchini!!
Hahaaaa! kwishahabari yenu!!

Queen Esther
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…