Mwelekeo wa sera za Tanzania kwa kuzingatia maudhui ya Ilani ya CCM ya 2020-2025: Je serikali itaweza kutimiza ahadi hizi zote kwa wakati?


Huwa napenda kujadiliana kwa mtindo wa point counter point ili niweze kuona wapi hoja yangu ni dhaifu na wapi hoja ya mwenzangu ni imara, halafu nifanye adjustment. Sioni kitu hicho kikitokea katika mawasiliano kati yangu nawe. Jitahidi kujielekeza kwenye hoja badala ya kushambulia mtoa hoja.

Pointi yangu ni hii: kwa Tanzania tatizo la "universal health coverage system" linatokana na vyanzo vya fedha za kuendesha mfumo huo. Ukiangalia SP ya Wizara ya Afya iliyomalizika 2020, kulikuwa na mependekezo ya vyanzo vipya vya fedha za kuendesha mfumo huu. Lakini, mpaka SP hii inafikia ukomo vyanzo hivyo havikuwa feasible. Technical Ministerial Papers zote zilizowasilishwa huko juu ziligonga mwamba. Mpaka leo hakuna waraka wa serikali unaoeleza chanzo cha fedha za kuendesha "universal health coverage system".

Any aidea on the way forward?
 
Mkuu,
Akikujibu nishitue.
Hajarudi nimchambulie bandiko lake! Akome kabisa kuleta siasa kwenye Afya za Watanzania na hiyo eliminated yake ya consultancy wakati tayari yuko bias!

Pia nimkumbushe utafiti wowote ni data, na data unacheza nazo unavyotaka. Unatengeneza vi hypothesis vyako, unakusanya data, unafanya analysis (kufikia kusudio lako la tangia awali ambalo uliliundia zengwe la kitaalamu), mwisho utafanya conclusion na recommendations!!!

Sasa kwanini Dunia kupitia (UHC) Universal Health Coverage - SDG imezitaka nchi zote member states kufikia malengo hayo ya dunia kwenye sekta ya Afya kwa wote na wewe unayejiita mtaalamu unasema haiwezekani!! Mbona kuna nchi duniani wameshafanya vizuri??

Queen Esther
 
Mtafiti huyu kakwama kabla hajaanza! Bahati nzuri tumeshamjua na kikosi chake na ushauri wao wa hovyo wa kuhusu Social Security nchini!!
Hahaaaa! kwishahabari yenu!!

Queen Esther

Argumentum ad hominems prohibited!
 

 
Uganga wa kienyeji huu sasa
Mtafiti huyu kakwama kabla hajaanza! Bahati nzuri tumeshamjua na kikosi chake na ushauri wao wa hovyo wa kuhusu Social Security nchini!!
Hahaaaa! kwishahabari yenu!!

Queen Esther
 
Uganga wa kienyeji huu sasa

Queen Esther anakiuka rules of logical engagement.

Anashambulia mleta hoja badala ya kujielekeza ktk hoja (argumentum adhominem fallacy). Mfano ni mtu anayekataa kauli kwamba "kuiba ni kosa" kwa vile imetamkwa na mtu ambaye ni mwizi.

Anatengeneza hoja mwanasesere na kuiangamiza kisha anashangilia (strawman fallacy). Mfano, ni mtu anayejibu hoja ya machungwa wakati tunajadili hoja ya maembe.

Anakataa hoja ya leo kwa sababu ya ushahidi wa jana ambao tayari umepitwa na wakati (genetic fallacy). Mfano, ni mtu anayekataa pete ya ndoa kwa kuwa zamani ilikuwa alama ya utumwa.

Asiporudi kwenye mstari sitaendeleza mawasiliano naye.

Mama Amon,
Sumbawanga,
Kwetu kuchele.
 
Utafiti wako umeuanza vibaya kwa kuponda Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 hadi 2025. Mbaya zaidi ukamponda Rais Magufuli kuwa alitoa ahadi ya Jukwaani! Sasa unataka nani akupe nondo na pesa ya walipa kodi umeshachukua na kusema haiwezekani? Waiteni wataalamu wa kweli wa masuala ya Social Security wenye maono na sio walioshindwa kabla!!! Pia sio waliovamia field wapate vyeo kwenye Mifuko.

Shida ukiangalia hiyo mifuko haiongozwi na watu waliosoma Social Security (PSSSF, NHIF, WCF, NSF nk). Pia hata waliowekwa kama watoa elimu PRM hawakusoma Social Security. Pia DO's (Director of Operations ambao ndio Technical Team) hawakusoma hiyo field, unategemea nini hapo?

Nakumbuka mgogoro wa SSRA ambapo Mkurugenzi Mkuu Yule mama mlimbwende hakuwa amesoma social Security. Akamuweka Mkurugenzi wa Operation binti wa kichaga aitwaye Mauki ambaye amesoma Banking and Finance na hajawahi hata kufanya kazi kwenye mifuko kisa alikuwa shoga yake Irene Isaka na wote wakitokea Stanbic Bank.

Leo Wastaafu wanateseka nchi nzima sababu ya ushoga. Huyu Mauki amefanya yake na sasa ni director of govt assets pale hazina mtu ambaye hakukaa hata miaka 5 serikalini. Na hawa wanawake wamevuruga SS nchini hata salamu hawapeani! Mmoja ya watu tuliopambana using na mchana ni Peter Mbelwa alijitahidi sana akapigwa vita sana.

Sasa muiache serikali ya. Magufuli itimize ahadi zake kwenye ilani 2020 - 2025 na ni ahadi za dunia pia.

Queen Esther
 
Wewe huoni ulivyomdhalilisha na kumshambulia Rais Magufuli na Ilani ya Uchaguzi ya CCM?? Sasa unajibiwa unasema unashambuliwa. Siku nyingine ukiishi nyumba ya vioo usirushe mawe!!! Acha Upotolo unakeraaaa!

Queen Esther
 
Queen naona kama hukuelewa ilikuwa comparison kati ya ilan za vyama .ishu ya health care hasa bima ilikuwa haipo ilichomekwa kucount ile ya lisu
 
Queen naona kama hukuelewa ilikuwa comparison kati ya ilan za vyama .ishu ya health care hasa bima ilikuwa haipo ilichomekwa kucount ile ya lisu
My darling! Kasome tena bandiko! Bandiko ni refu mimi nimechagua sekta ya afya na kuchambua. Mwingine anaweza kuchambua kipengele chochote anachojisikia kufanya hivyo.

Queen Esther
 
Utafiti wako umeuanza vibaya kwa kuponda Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 hadi 2025. Mbaya zaidi ukamponda Rais Magufuli kuwa alitoa ahadi ya Jukwaani!
Maswali matano:

  1. Ni wapi nimeponda Ilani ya CCM?
  2. Wapi nimemponda Magufuli na kwanini?
  3. Ahadi ya kuteekeza sera ya bima ya afya kwa wote na ahadi ya kuimarisha mfumo wa bima ya afya ni mambo mawili yanayoweza kutenganishika au hapana?
  4. Ilani ya CCM 2020-2025 ikisema maneno yafuatayo inakuwa imetoa ahadi ya kuteekeza sera ya bima ya afya kwa wote katika kipindi cha 2020-2025 au inakuwa imeahidi kuimarisha mfumo wa bima ya afya?: “83 (e). Katika kipindi hicho, Chama kitasimamia Serikali katika kutekeleza yafuatayo:… Kuimarisha mfumo wa bima ya afya nchini ikiwemo mifuko ya bima za afya (NHIF na CHF) ili kufikia lengo la Serikali la kuwa na bima ya afya kwa wananchi wote.”
  5. Tangu lini kupanda jukwaani na kutoa ahadi mpya ambayo haiko katika ilani likawa kosa la kisasa na kisera?
You sound primitive, naive and a vitim of selective amnesia.
 
Uliposema BIMA YA AFYA KWA WOTE ni ahadi ya majukwaani na haipo kwenye ilani ulikuwa unamzungumzia nani? Acha upotolo.

Queen Esther
 
Lakini, katika ilani hii, haikutajwa ahadi ya “bima ya afya kwa watu wote.” Hii ni ahadi ya jukwaani. Mwisho wa kunukuu!

Pia umeweka picha ya nani hapo juu kabisa ya bandiko lako?

Queen Esther
 
My darling! Kasome tena bandiko! Bandiko ni refu mimi nimechagua sekta ya afya na kuchambua. Mwingine anaweza kuchambua kipengele chochote anachojisikia kufanya hivyo.

Queen Esther
Hahaha ulipaswa usome lote ili uweze kufahamu kwa undani ,kumbe sio kosa lako kama ulisona kipande cha afya tu
 
Ahadi ipo kwenye Ilani na tumekuwekea vifungu! Bado umeanza tena???

Queen Esther
 
Hahaha ulipaswa usome lote ili uweze kufahamu kwa undani ,kumbe sio kosa lako kama ulisona kipande cha afya tu
Heeee! Kumbe hujui Ilani inazungumzia Ibara kwa Ibara? Maliza sekta ya afya chagua kingine tutakufafanulia! Ilani Ina. kurasa ngapi vile? Je! Unataka tuchambue zote kwa mara moja? Heeeee! Koh! Koh! Koh!

Queen Esther
 
Hahaha ulipaswa usome lote ili uweze kufahamu kwa undani ,kumbe sio kosa lako kama ulisona kipande cha afya tu
Nimesoma lote best! Nimeangalia knowledge gap na upotoshaji nikafafanua! Kampeni ilikwisha na Rais ni Magufuli whether you like it or not! Sasa aachwe atimize aliyoyaahidi ndani ya miaka yake mitano ndipo akosolewe! Unanilazimisha kulinganisha ilani hapo ni kupotezeana muda! Hapa ni JF the Home of Great Thinkers!

Queen Esther
 
Ahadi ipo kwenye Ilani na tumekuwekea vifungu! Bado umeanza tena???

Queen Esther

 
Uliposema BIMA YA AFYA KWA WOTE ni ahadi ya majukwaani na haipo kwenye ilani ulikuwa unamzungumzia nani? Acha upotolo.

Queen Esther
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…