Mwenda: Tupeni taarifa ya Maafisa wa TRA wasio waadilifu, tutachukua hatua

Mwenda: Tupeni taarifa ya Maafisa wa TRA wasio waadilifu, tutachukua hatua

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema Mamlaka hiyo itawachukulia hatua bila kumpendelea wala kumuonea yeyote atakayehusika kukwepa kodi au kwa Afisa atakayeonesha kukosa uadilifu kwenye majukumu yake, amesema hayo Julai 15, 2024 wakati akizungumza na Wanahabari.



View: https://www.youtube.com/watch?v=BrXhqqTJiiQ
WhatsApp Image 2024-07-19 at 12.37.26_114c5986.jpg

WhatsApp Image 2024-07-19 at 12.37.50_6ede8f61.jpg

WhatsApp Image 2024-07-19 at 12.38.18_fc882afa.jpg
 
Uongo mtupu.kwanini aliyekutwa na bilioni saba nyumbani kwake amewashinda kesi na kuendelea kutamba kuwa atachukua zingine zaidi ya hizo?
 
Mtapokea na majina ya watu ambao tuna mabifu nao walituchukulia mademu zetu
 
Mtapokea na majina ya watu ambao tuna mabifu nao walituchukulia mademu zetu

Kweli kabisa .
Hii itapelekea chuki binafsi na husuda za watu mbalimbali na ndugu wa karibu kutaka kukomoana sababu ya chuki binafsi maana watu wengi hawapendagi ndugu au mtu baki apate riziki.

Hii italeta taharuki kubwa hata mauaji ya watu kwenye jamii.
Kwani mifumo yetu ya nchi ya dola imeshindwa kutambua watumishi wasio na uadilifu?
 
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema Mamlaka hiyo itawachukulia hatua bila kumpendelea wala kumuonea yeyote atakayehusika kukwepa kodi au kwa Afisa atakayeonesha kukosa uadilifu kwenye majukumu yake, amesema hayo Julai 15, 2024 wakati akizungumza na Wanahabari.



Mbona wanasema kuna kuwaga na declarations za mali na madeni kwa watumishi wa umma au ni kwa Viongozi wa umma CEOs tu ?
Si ni kwenda kuhakiki tu Sasa kwa wale ambao baadhi pengine ukwasi wao umeonekana wao utaonekana kuzidi kupita kawaida au ?
By random sampling.
 
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema Mamlaka hiyo itawachukulia hatua bila kumpendelea wala kumuonea yeyote atakayehusika kukwepa kodi au kwa Afisa atakayeonesha kukosa uadilifu kwenye majukumu yake, amesema hayo Julai 15, 2024 wakati akizungumza na Wanahabari.



Hapo ndio ile kusema riziki mwanzo wa chuki itaonekana kazi.
Fikiria kuna hadi ndugu hawapendi kuona ndugu zao wakufanikiwa kwa Nina yeyote ile halali.
 
Back
Top Bottom