Mwendelezo: Funguka mwanaume unaevutiwa nae JF

Umesahau kule kwetu tumefundwa kutokuhoji maamuzi ya baba hasa yakiwa yamefanyika in good faith?
Sikua na jinsi zaidi ya kufuata vile kungwi kasema mwanangu..
bamdogo jamaan upendwe vipiiii lakini ebu angalia mamdogo mzigua anavyokupenda jamaan
 
Basi hongera umepata mume bora ambae bdae atakuja kuwa baba bora wa watoto wetu, na sina wasi wasi na wewe kuto kuijua PM
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124]
 
Juzi nikasubiri nidaiwe vifuniko vya asali hadi nikachoka.

Nishaghairi sivilipi tena
Baby we unanijua zaidi... ulisema haviwezi kuingia kwenye huu mzigo!! Nikaghairi kuchagua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…