Mwendelezo: Funguka mwanaume unaevutiwa nae JF

Asante sana angalau nimepata kaheshima kwenye huu uzi!!!!Ni chit chat ila kuna kaukweli ndani yake usipotajwa!!!!
Sure [emoji122]
Nami kwa kuliona hilo nimeamua kusema nawapenda wote,imagine mtu ni rafiki yangu kitambo nisingemtaja (hata kama asiposema hadharani...design inauma)
 
Jina langu kutokutajwa kwenye haka ka uzi ni uchochezi Wa hali ya juu.... Hivyo natangaza rasmi muanzishaji Wa Uzi huu na waliochangia kuvutiwa na mijamaa mingine mjisalimishe haraka kituo cha kati, Sijalibiwi Mimi alaaaaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…