Mwendelezo: Funguka mwanaume unaevutiwa nae JF

Kuna tetesi za chini kwa chini kuwa kuna baadhi ya wanaume wa hapa jf wame wahonga warembo wa humu jf kwa njia ya pm ili waje wawataje hapa!

Nitakuwa nawaletea update karidi nitakavyo kuwa na zipata!
 
Nitataja wengi mnooooo,hadi nitajisikia vibaya kama nikiwasahau wengine.
Itoshe tu kusema nawapenda wakaka/baba wote wa JF.
Nina marafiki humu,kaka and of course my baby nae ni JF member[emoji131][emoji132]
Huhuhuuu [emoji126][emoji126][emoji126]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna kajitoto kanaitwa jje's Sijakaona humu ujue???
hebu popote alipo ajitokeze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…