Mwendelezo: Funguka mwanaume unaevutiwa nae JF

Hujanisoma, kumbuka kuna mdada ulimleta hapa baada ya ile out ya shukrani
Nimemuelewa mkuu, sasa siku hiyo nisingekuwa na chochote si simu zetu zingebaki? Ndiyo maana nakataa kutolewa out kizembe
 
Yan comment zaid ya elf 3 af hakuna hata mmoja alikosea hata kuandika akanitaja my x
Nae kanilia buyuu

Dhuu!! Ntakua nmesoma vbaya
Au nna ugomvi na bahar ya
Pacific
 
Unaweza
Ila it is the worst experience kama uli set the bar very high, unaweza kutana na dissapointment, ila kama uli mfikiria wa kawaida tu ukimkuta wa ajab ajab hata haita kushangaza.
Ila dont try this at home [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] true my hpo ulipotia conclusion!!
 
Mungu jaalia Jina langu lisitajwe na hawa mabinti wa J.F maana nawaogopa kama ukoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…