Nakwambia acha nife nao ndani ya moyo... Unataka niachike auuuHivi wewe ulimtaja nani...?
Acha kuibana roho taja tu unayempenda bwana
AiseeBado nimefichwa apa nachungulia tu
Id ipi?Hafu ile id huta amini ndo nilisajili wakanambia ina mtu nika ahirisha myezi kibao kwa hasira
Huyo mkalia ini nijibu tu
Utatajaje na umewapanga foleni!!Haha
Sikumtaja mtu kaperuzi uone
Nimuite nani?Muite basii
Yaani acha tuu, niliwapenda sana hawa wa kaka[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hebu watajeYaani acha tuu, niliwapenda sana hawa wa kaka
MmmmhHebu wataje
Sikumbuki hataAlimtajaga nani?
Brooh..Lakin ipo siku utaleta malalamiko kama ya dada yuleee!![emoji23] [emoji23] [emoji23] natania mkuu
Kabsaaa aisee haya masiku ya siku hizi bhana dahWeek ijayo si ndiyo mambo
Daby Siwezi wataja hapa, kwanza wengine wamewahiwa kabisaaItapasuka hiyo Roho acha roho ieleee kwa umpendae bwana.
Fanya haraka charaza majina hapo
Ninong'oneze mimi tu.Mmmmh
Hapana aisee
Zimefanyaje mkwe?Thread za Daby bhana...