mtu wa nini mimi hivi upoje lakiniHukuwa na mtu kweeeli
Una hamu ya kuzeeka kwa wiki? Basi jiweke hapo.Usikute ana search revenge kupitia kwa mimi kaka yako
Ohooooo!!!Nikimtaja hapa itakuwa vita. Hebu ngoja nijinyamazie. Ila nampenda huyu mtu...avatar yake dah! Naumia ndani kwa ndani[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
sawaMie nachochea tuu bhana
Ni venye nakupenda antieAnti nini tena!!!
Una makusudi ujue weeHunie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kaka yako wa wapi wewe acha kujipachika undugu
Mimi dada yako hata simjui sijui nakuwaje na ugomvi na mtu nisiyemjua eti [emoji13] [emoji13]Nikikumiliki nitatengwa na ndugu yangu dada yangu kipenzi.. eti ananiambia unataka kurevenge ugomvi wenu kupitia kwangu
[emoji125] [emoji125] [emoji125]Nikimtaja hapa itakuwa vita. Hebu ngoja nijinyamazie. Ila nampenda huyu mtu...avatar yake dah! Naumia ndani kwa ndani[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Ukipanick huwa nainjoy sanamtu wa nini mimi hivi upoje lakini
hivi kuna mtu umemuelewa [emoji23] [emoji23]Mie nachochea tuu bhana
Kwa nini tena baba DUna makusudi ujue wee
najua sana mfyuuu kuna mtu msome utacheka kufwaa jf hii [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukipanick huwa nainjoy sana
Hahaha
Nakupenda pia antie[emoji8]Ni venye nakupenda antie
Ah hata sihitaji hiyo shikamoo yako banaShikamoo Vale [emoji13] [emoji13]
Usikute ni wewe makenikia wangu[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Leo nalala mapema...! Kesho si unajua nina ile safari..Kwa nini tena baba D
Hahaaaa!Usikute ni wewe makenikia wangu