Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Danadana za kupata KATIBA MPYA NA BORA zinaendelea, na kuendelea kutafuna fedha za umma kwa mabilioni.
Maoni ya Nyalali yalitupwa, Kisanga alifokewa na Mkapa, Warioba akashambuliwa na Kikwete na hadi kupigwa ngwala na kijana wake Makonda ambaye alipewa zawadi ya ukuu wa wilaya ya Kinondoni.
Aliyepo alikuja na Kikosi Kazi cha kupata KATIBA MPYA na mwishowe akasema maoni ya Kikosi Kazi si amri. Hivi majuzi Machi 8 kasema ataunda kamati ya KATIBA MPYA. Danadana zinaendelea!
Nyalali: Season 1
Kisanga: Season 2
Warioba: Season 3
Bunge la Katiba na Katiba Inayopendekezwa: Season 4
Mukandala na Kikosi Kazi: Season 5
Kamati ya KATIBA MPYA: Season 6
Nanihii (!?): Season 7
...tunasuburi. Mwishowe yote yatatupwa na kuendelea na seasons!
Ili tuje kupata KATIBA MPYA NA BORA tunahitaji chama mbadala, serikali mbadala na viongozi mbadala. CCM na upinzani uliopo tupa kule! Huo utakuwa ndio mwisho wa danadana na seasons zake.
Maoni ya Nyalali yalitupwa, Kisanga alifokewa na Mkapa, Warioba akashambuliwa na Kikwete na hadi kupigwa ngwala na kijana wake Makonda ambaye alipewa zawadi ya ukuu wa wilaya ya Kinondoni.
Aliyepo alikuja na Kikosi Kazi cha kupata KATIBA MPYA na mwishowe akasema maoni ya Kikosi Kazi si amri. Hivi majuzi Machi 8 kasema ataunda kamati ya KATIBA MPYA. Danadana zinaendelea!
Nyalali: Season 1
Kisanga: Season 2
Warioba: Season 3
Bunge la Katiba na Katiba Inayopendekezwa: Season 4
Mukandala na Kikosi Kazi: Season 5
Kamati ya KATIBA MPYA: Season 6
Nanihii (!?): Season 7
...tunasuburi. Mwishowe yote yatatupwa na kuendelea na seasons!
Ili tuje kupata KATIBA MPYA NA BORA tunahitaji chama mbadala, serikali mbadala na viongozi mbadala. CCM na upinzani uliopo tupa kule! Huo utakuwa ndio mwisho wa danadana na seasons zake.