Mwendelezo wa Danadana za Katiba Mpya

Mwendelezo wa Danadana za Katiba Mpya

Gwappo Mwakatobe

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2019
Posts
1,730
Reaction score
2,230
Danadana za kupata KATIBA MPYA NA BORA zinaendelea, na kuendelea kutafuna fedha za umma kwa mabilioni.

Maoni ya Nyalali yalitupwa, Kisanga alifokewa na Mkapa, Warioba akashambuliwa na Kikwete na hadi kupigwa ngwala na kijana wake Makonda ambaye alipewa zawadi ya ukuu wa wilaya ya Kinondoni.

Aliyepo alikuja na Kikosi Kazi cha kupata KATIBA MPYA na mwishowe akasema maoni ya Kikosi Kazi si amri. Hivi majuzi Machi 8 kasema ataunda kamati ya KATIBA MPYA. Danadana zinaendelea!

Nyalali: Season 1
Kisanga: Season 2
Warioba: Season 3
Bunge la Katiba na Katiba Inayopendekezwa: Season 4
Mukandala na Kikosi Kazi: Season 5
Kamati ya KATIBA MPYA: Season 6
Nanihii (!?): Season 7
...tunasuburi. Mwishowe yote yatatupwa na kuendelea na seasons!

Ili tuje kupata KATIBA MPYA NA BORA tunahitaji chama mbadala, serikali mbadala na viongozi mbadala. CCM na upinzani uliopo tupa kule! Huo utakuwa ndio mwisho wa danadana na seasons zake.
 
Majira ya kupatikana KATIBA mpya Tanzania yamefika.

Tutakamilisha kupatikana kwa Katiba mpya 2026,

Ikiwa itatokea umefika muda huo na kuvuka bila kupata KATIBA mpya,

Vyama vyote vya upinzani vitafutwa na tutarudi mfumo wa chama kimoja.

Tusubiri.
 
Danadana za kupata KATIBA MPYA NA BORA zinaendelea, na kuendelea kutafuna fedha za umma kwa mabilioni.

Maoni ya Nyalali yalitupwa, Kisanga alifokewa na Mkapa, Warioba akashambuliwa na Kikwete na hadi kupigwa ngwala na kijana wake Makonda ambaye alipewa zawadi ya ukuu wa wilaya ya Kinondoni.

Aliyepo alikuja na Kikosi Kazi cha kupata KATIBA MPYA na mwishowe akasema maoni ya Kikosi Kazi si amri. Hivi majuzi Machi 8 kasema ataunda kamati ya KATIBA MPYA. Danadana zinaendelea!

Nyalali: Season 1
Kisanga: Season 2
Warioba: Season 3
Bunge la Katiba na Katiba Inayopendekezwa: Season 4
Mukandala na Kikosi Kazi: Season 5
Kamati ya KATIBA MPYA: Season 6
Nanihii (!?): Season 7
...tunasuburi. Mwishowe yote yatatupwa na kuendelea na seasons!

Ili tuje kupata KATIBA MPYA NA BORA tunahitaji chama mbadala, serikali mbadala na viongozi mbadala. CCM na upinzani uliopo tupa kule! Huo utakuwa ndio mwisho wa danadana na seasons zake.
Kuna bango humu JF lisemalo "Mfumo wetu wa Muungano ni janga la Kitaifa"
Kwa mfumo huo Hauruhusu kuanzisha mchakato wa katiba mpya.
CCM wenyewe wame kwama hawajui waanzie wapi , na hawaju walipo kwama.
Nyerer Na Mzee karume wametuingiza Chakani.

Nchi inaangamia kwa Ufisadi, pesa zinaliwa kurekebisha hili na lile , kamati na makongamano yanaua mamilioni
 
Naunga mkono hoja kwa 💯%

Watanzania tunahitaji Katiba ya Wananchi! Na siyo Katiba kwa ajili ya kuinufaisha CCM, au Chadema.

Tunahitaji Katiba ya kuinufaisha nchi na wananchi wake wote! Na siyo kikundi cha watu wachache, mfano wanasiasa, nk.
Naam!
 
Kuna bango humu JF lisemalo "Mfumo wetu wa Muungano ni janga la Kitaifa"
Kwa mfumo huo Hauruhusu kuanzisha mchakato wa katiba mpya.
CCM wenyewe wame kwama hawajui waanzie wapi , na hawaju walipo kwama.
Nyerer Na Mzee karume wametuingiza Chakani.

Nchi inaangamia kwa Ufisadi, pesa zinaliwa kurekebisha hili na lile , kamati na makongamano yanaua mamilioni
Inauma sana!
 
Naunga mkono hoja kwa [emoji817]%

Watanzania tunahitaji Katiba ya Wananchi! Na siyo Katiba kwa ajili ya kuinufaisha CCM, au Chadema.

Tunahitaji Katiba ya kuinufaisha nchi na wananchi wake wote! Na siyo kikundi cha watu wachache, mfano wanasiasa, nk.
Mgosi hiyo katiba ya kunufaisha watu wote, kwa Africa ni vigumu kupatikana,

Viongozi ni wabinafsi sana, wanatembelea magari ya milion 600, walipa kodi wanakunywa maji ya tope na mifugo,

Kila mmoja anatamani kupata nafasi ili akaibe na kujinufaisha yeye na familia, ukoo wake na marafiki zake,

Nchi imekuwa kila kiongozi hupandikiza mwanae au ndugu ili akistaafu, aendelee kuneemeka na jasho la wanyonge,






Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
 
Mgosi hiyo katiba ya kunufaisha watu wote, kwa Africa ni vigumu kupatikana,

Viongozi ni wabinafsi sana, wanatembelea magari ya milion 600, walipa kodi wanakunywa maji ya tope na mifugo,

Kila mmoja anatamani kupata nafasi ili akaibe na kujinufaisha yeye na familia, ukoo wake na marafiki zake,

Nchi imekuwa kila kiongozi hupandikiza mwanae au ndugu ili akistaafu, aendelee kuneemeka na jasho la wanyonge,






Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa mghoshi (mgosi), tuna mafisadi na walafi wa kutisha na kulitesa taifa. Tuombe Mungu aingilie kati na kutunusuru.
 
Majira ya kupatikana KATIBA mpya Tanzania yamefika.

Tutakamilisha kupatikana kwa Katiba mpya 2026,
Issue isiwe kupatikana katiba tu, hiyo katiba itakuwa na ubora gani ndio swala la muhimu.

Mfumo wa muungano wetu ni moja ya mambo yanayokera, lakini ccm hawako tayari kubadilika kwenye hili. Tunafanyaje?!
 
Issue isiwe kupatikana katiba tu, hiyo katiba itakuwa na ubora gani ndio swala la muhimu.

Mfumo wa muungano wetu ni moja ya mambo yanayokera, lakini ccm hawako tayari kubadilika kwenye hili. Tunafanyaje?!
KATIBA Bora itadaiwa Kwa maandamano,

Haiji Kwa kuridhiana mezani Kwa vyama vya siasa.

Get ready.
 
Hahaha, Nacheka kama mazuri.

Ujinga ni mmoja wangelikubali Rasmu ya katiba iliyopendekezwa now wangekua na uwezo wa kupigania vipengele vichache ambavyo awakukubaliana navyo.

Now tunaanza zero mapaka ipatikane wanasiasa wanayotaka ni 2050
 
Back
Top Bottom