KERO Mwendokasi imesitisha huduma Kibaha na hakuna maelezo

KERO Mwendokasi imesitisha huduma Kibaha na hakuna maelezo

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mimi ni mdau mzuri wa mwendokasi kutoka Kibaha Stendi hadi mjini Posta, nimesikitishwa sana kuona huduma hii kusitishwa bila notisi wala matangazo rasmi (huenda yalikwepo ila mimi sijayaona).

Kwa bahati mbaya hakuna mwenye majibu ya kuridhisha juu ya kusitishwa kwa huduma hii, natamani kusikia kutoka kwa wahusika DART / UDART / LATRA n.k

Anyway:
Watanzania wenzangu, Wana-Pwani na Wapiga kura wenzangu tumesitishiwa huduma ya usafiri... Tuanzie wapi kuyawasilisha haya?
 
1. Route haina faida halafu Daladala za Mlandizi ziko tu kibao

2. Mji wa Kibaha ni mdogo na watu kidogo haujawa na hadhi ya kuwa na mwendo kasi- Mradi huu uanze mara moja Arusha, Mwanza na Dodoma ambapo kuna watu na pesa nyingi
 
Mimi ni mdau mzuri wa mwendokasi kutoka Kibaha Stendi hadi mjini Posta, nimesikitishwa sana kuona huduma hii kusitishwa bila notisi wala matangazo rasmi (huenda yalikwepo ila mimi sijayaona).

Kwa bahati mbaya hakuna mwenye majibu ya kuridhisha juu ya kusitishwa kwa huduma hii, natamani kusikia kutoka kwa wahusika DART / UDART / LATRA n.k

Anyway:
Watanzania wenzangu, Wana-Pwani na Wapiga kura wenzangu tumesitishiwa huduma ya usafiri... Tuanzie wapi kuyawasilisha haya?
Wenyewe wa Mbagala wanataka gari zao.
 
1. Route haina faida halafu Daladala za Mlandizi ziko tu kibao

2. Mji wa Kibaha ni mdogo na watu kidogo haujawa na hadhi ya kuwa na mwendo kasi- Mradi huu uanze mara moja Arusha, Mwanza na Dodoma ambapo kuna watu na pesa
Kupeleka mwendokasi Dodoma ni kucheza na pesa jazeni kwanza hiace na coaster ndio mletewe mwendokasi
 
1. Route haina faida halafu Daladala za Mlandizi ziko tu kibao

2. Mji wa Kibaha ni mdogo na watu kidogo haujawa na hadhi ya kuwa na mwendo kasi- Mradi huu uanze mara moja Arusha, Mwanza na Dodoma ambapo kuna watu na pesa nyingi
Hapo dodoma arusha na mwanza daladala tu hzi coster hamna. Ni vi hiace navyo kujaza n mbinde. Afu eti mnataka mwendokasi. Kibaha mwendo kasi unajaza tu sana. Maana wengi wanaishi kibaha ila mishe mjni dar es salaam
 
Hapo dodoma arusha na mwanza daladala tu hzi coster hamna. Ni vi hiace navyo kujaza n mbinde. Afu eti mnataka mwendokasi. Kibaha mwendo kasi unajaza tu sana. Maana wengi wanaishi kibaha ila mishe mjni dar es salaam
Mwanza kwa sasa tunahitaji mwendokasi.Kwa wanaoijua mwanza usafiri ni wa shida sana hasa asubuhi na jioni hasa siku za kazi.Subiri shule zifunguliwe uone kasheshe lake.Hizo hiace na coaster hata hazifai tena.Tufikiriwe na sisi jamani.
 
Huduma zote zinazotolewa na serikali ni mbovu shule ,train, hospital za serikali ,yaani taasisi za serikali zte zinatoa huduma mbovu mno
 
Mwanza kwa sasa tunahitaji mwendokasi.Kwa wanaoijua mwanza usafiri ni wa shida sana hasa asubuhi na jioni hasa siku za kazi.Subiri shule zifunguliwe uone kasheshe lake.Hizo hiace na coaster hata hazifai tena.Tufikiriwe na sisi jamani.
Mwanzo bado sana. Mtulie tu
 
Back
Top Bottom