muzi
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 1,041
- 1,457
Nimpongeze sana mkuu wa nchi kwa mapinduzi anayokuja nayo kwa maslahi ya nchi. Lakini unapofanya jambo la kitaifa ni vizuri kufikiria mara mbili ili usilete AIBU. Ni vizuri kufanya jambo na maamuzi ya KISASA na ENDELEVU hata kupata reputation kwa nchi jirani kwamba umefanya jambo la kiume. Ni vizuri kufanya reseach ndogo kwa majirani na wengine wanavyofanya hizo biashara, pia ni vizuri kupima na kukubali ushauri kwa wataalamu wa sekta husika. Kama walivyosema wadau wengi (pamoja na waziri alitumbuliwa) siku za nyuma kukuru kakara ya kununua hii ndege wamefikira hatua moja, pia yaonekana walikuwa wanamkomoa mtu fulani hivi, hii ni kwasababu wamenunua ndege ya OLD Technology ya mapanga shwaa ya Bombadier Q400.
Pili efficiency and effectiveness ya hii ndege sio sustainable, kwa model yake wataaalamu wanasema baada ya muda cost of operation and management itakuwa huge. Mbaya zaidi vifaa vya ndege hii huuzwa ghali sababu ya transisation ya technology to Boeing AIR technology.
Tatu kuna mdororo wa uchumi kwa sasa hapa Tz, kitu ambaccho wanauchumi na wadau wakubwa wa sekta ya kifedha wanaogopa kuzungumzia kwa sababu mbalimbali. Hii pia imeadhiri biashara ya sekta ya anga. Mfano mzuri Fastjet wametangaza kupunguza wafanyakazi na pia kubadilisha hizi ndege za boieng 73...ili walete ndogo. Hii ni kwasababu ya kupungua kwa abiria as a result of poor money circulation in the economy. Hii pia imemwadhiri sana Precision Air, hapo juzi kati alikuwa na hali mbaya mbaya sana kwenye masoko ya HISA.
Pia kuna upinzani kwenye biashara ya domestically na internationally so wajipange na si kukurupuka
USHAURI WA BURE:
Hope serikali hapa itakuwa sikivu ku-stabilize kwanza domestic market kabla ya kwenda nje. Pia waangalie KQ walifanikiwa kuwa na ndege nyingi na coverage kubwa kwa mfumo wa SKY PARTNERSHIP with international flight
Pili efficiency and effectiveness ya hii ndege sio sustainable, kwa model yake wataaalamu wanasema baada ya muda cost of operation and management itakuwa huge. Mbaya zaidi vifaa vya ndege hii huuzwa ghali sababu ya transisation ya technology to Boeing AIR technology.
Tatu kuna mdororo wa uchumi kwa sasa hapa Tz, kitu ambaccho wanauchumi na wadau wakubwa wa sekta ya kifedha wanaogopa kuzungumzia kwa sababu mbalimbali. Hii pia imeadhiri biashara ya sekta ya anga. Mfano mzuri Fastjet wametangaza kupunguza wafanyakazi na pia kubadilisha hizi ndege za boieng 73...ili walete ndogo. Hii ni kwasababu ya kupungua kwa abiria as a result of poor money circulation in the economy. Hii pia imemwadhiri sana Precision Air, hapo juzi kati alikuwa na hali mbaya mbaya sana kwenye masoko ya HISA.
Pia kuna upinzani kwenye biashara ya domestically na internationally so wajipange na si kukurupuka
USHAURI WA BURE:
Hope serikali hapa itakuwa sikivu ku-stabilize kwanza domestic market kabla ya kwenda nje. Pia waangalie KQ walifanikiwa kuwa na ndege nyingi na coverage kubwa kwa mfumo wa SKY PARTNERSHIP with international flight