MWENDOKASI Kuanza natumizi ya kadi kwa abiria hivi karibuni,je itakuwa kama mwanzo

MWENDOKASI Kuanza natumizi ya kadi kwa abiria hivi karibuni,je itakuwa kama mwanzo

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
6,736
Reaction score
10,669
Nafikiri anytime soon matumizi ya kadi yataanza ktk vituo vya mwendokasi,je elimu imetolewa? Huduma si mpya japo kutakuwa na maboresho kadha wa kadha.

Nasikia kadi itakuwa inauzwa 5k iyo ni bado hujajaza nauli, je ufanisi wa mashine kuscan upoje ili kutosababisha msongamano wa watu kituoni

Waje kutoa mwongozo ao Udart na Dart je tutaendelea kukaa kituoni zaid ya masaa mawili matatu, kama wameamua kufanya marekebisho basi wafanye katika mfumo mzima watu angalau tufurahie huduma sio wao tu kufurahia kukusanya mapato
Wasalamm
 
Kuna watu wataharibu hyo mifumo kwa makusudi....ili waendelee kupiga 10%

Uzuri wakikamatwa wanachekewa tu
 
Hahahah!! 🤣 Kadi itakuwaisha kuondoka kituoni? Changamoto ni kusubilia gari zaidi ya masaa 2 kituoni. Na si kadi
 
Nafikiri anytime soon matumizi ya kadi yataanza ktk vituo vya mwendokasi,je elimu imetolewa? Huduma si mpya japo kutakuwa na maboresho kadha wa kadha.

Nasikia kadi itakuwa inauzwa 5k iyo ni bado hujajaza nauli, je ufanisi wa mashine kuscan upoje ili kutosababisha msongamano wa watu kituoni

Waje kutoa mwongozo ao Udart na Dart je tutaendelea kukaa kituoni zaid ya masaa mawili matatu, kama wameamua kufanya marekebisho basi wafanye katika mfumo mzima watu angalau tufurahie huduma sio wao tu kufurahia kukusanya mapato
Wasalamm
Hivi tatizo la Mradi wa Mwendokasi ni matumizi ya Kadi katika kulipa nauli au msongamano mkubwa wa abiria kwenye vituo vyake?
Hiyo Kadi itawezaje kuondoa msongamano wa Watu kwenye vituo vya mabasi na ndani ya mabasi yenyewe? Je, Kadi hiyo itaweza kuongeza idadi ya mabasi ya kusafirisha abiria??
 
Hivi tatizo la Mradi wa Mwendokasi ni matumizi ya Kadi katika kulipa nauli au msongamano mkubwa wa abiria kwenye vituo vyake?
Hiyo Kadi itawezaje kuondoa msongamano wa Watu kwenye vituo vya mabasi na ndani ya mabasi yenyewe? Je, Kadi hiyo itaweza kuongeza idadi ya mabasi ya kusafirisha abiria??
Wanatakiwa wafanye maboresho kote
 
Back
Top Bottom