Mwendokasi kuishia Boko hapo Serikali imechemka, ilipaswa ifike Bunju mwisho

Mwendokasi kuishia Boko hapo Serikali imechemka, ilipaswa ifike Bunju mwisho

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
DART Mwendokasi kuishia Boko hapo serikali imechemka ilipaswa ifike Bunju mwisho

Kwakweli serikali yetu imechemka kwenye hili maana baadae watakuja tena itabidi waje kuongeza

Ilipaswa mwendokasi ifike Bunju Mwisho pale sio mambo ya kuishia Boko halafu baadae mje tena kusema mtaongeza tena hadi bunju hapo mtawapa tena wananchi kazi ya kuwabomolea miundombinu yao bora sasa ingejengwa hadi bunju mjuwe mmemaliza.

Watasema hawana fedha, wakati mapesa ya kujenga mashule ya uviko na kununua mandege mnayo.

Kama mnaweza kutumia bilioni 555 kununulia magari kila mwaka, bilioni 340 za mabango ya kumsifi mama kila mahali, bilioni 100 mnazodai eti ni ruzuku ya kupunguza mafuta ya petrol kila mwezi, mnakosa vipi hela za kumalizia mradi ufike Bunju?

Kama ambavyo huu mradi unafika Rangi3, kibaha ulipaswa ufike hadi Bunju pia
 
Mama anapeleka Boko kwa sababu ndiyo kwake MBWENI ilipaswa huo mradi uende hadi Kerege kama unaishia BOKO ni bora uishie Tegeta.

Na wa Gongolamboto inatakiwa ufike hadi Pugu.

Wa mbagala ulitakiwa uende hadi Mwandege.

Viongozi wetu inabidi wawe na maono ya mbali.
 
Kati ya mradi wa hovyo ni huu utopolo unaoitwa mradi wa mwendo kasi.kwa Tanzania huu mradi ni matumizi mabaya ya pesa za umma kwa sababu zinatumia pesa nyingi za umma kujenga miundomini lakini ufanisi wake ni sifuri kabisa.magari haya hayaheshimu muda,wanabeba watu wengi kupita kias kwenye gari moja na pesa wanazopata zinaishia kupigwa na wachache.Njia nzuri ya kyondoa msongamano ni trani za mijini pamoja na kupanua barabara ili ziwe na njia nne kila upande

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama anapeleka Boko kwa sababu ndiyo kwake MBWENI ilipaswa huo mradi uende hadi Kerege kama unaishia BOKO ni bora uishie Tegeta.

Na wa Gongolamboto inatakiwa ufike hadi Pugu.

Wa mbagala ulitakiwa uende hadi Mwandege.

Viongozi wetu inabidi wawe na maono ya mbali.
Kweli kabisa anaishi mbweni
 
Kweli kabisa anaishi mbweni

Hana washauri wazuri ,Boko kuna stand? Boko na Bunju si karibu tu? Bunju kuna stand Kubwa.

Au Kuishia Mbagala wakati 8km tu unafika Kongowe/Mwandege ambapo kuna Stand Kubwa tu na kuna wakazi wengi.
 
DART Mwendokasi kuishia Boko hapo serikali imechemka ilipaswa ifike Bunju mwisho

Kwakweli serikali yetu imechemka kwenye hili maana baadae watakuja tena itabidi waje kuongeza

Ilipaswa mwendokasi ifike Bunju Mwisho pale sio mambo ya kuishia Boko halafu baadae mje tena kusema mtaongeza tena hadi bunju hapo mtawapa tena wananchi kazi ya kuwabomolea miundombinu yao bora sasa ingejengwa hadi bunju mjuwe mmemaliza.

Watasema hawana fedha, wakati mapesa ya kujenga mashule ya uviko na kununua mandege mnayo.

Kama mnaweza kutumia bilioni 555 kununulia magari kila mwaka, bilioni 340 za mabango ya kumsifi mama kila mahali, bilioni 100 mnazodai eti ni ruzuku ya kupunguza mafuta ya petrol kila mwezi, mnakosa vipi hela za kumalizia mradi ufike Bunju?

Kama ambavyo huu mradi unafika Rangi3, kibaha ulipaswa ufike hadi Bunju pia
Ilipaswa ifike mapinga
 
DART Mwendokasi kuishia Boko hapo serikali imechemka ilipaswa ifike Bunju mwisho

Kwakweli serikali yetu imechemka kwenye hili maana baadae watakuja tena itabidi waje kuongeza

Ilipaswa mwendokasi ifike Bunju Mwisho pale sio mambo ya kuishia Boko halafu baadae mje tena kusema mtaongeza tena hadi bunju hapo mtawapa tena wananchi kazi ya kuwabomolea miundombinu yao bora sasa ingejengwa hadi bunju mjuwe mmemaliza.

Watasema hawana fedha, wakati mapesa ya kujenga mashule ya uviko na kununua mandege mnayo.

Kama mnaweza kutumia bilioni 555 kununulia magari kila mwaka, bilioni 340 za mabango ya kumsifi mama kila mahali, bilioni 100 mnazodai eti ni ruzuku ya kupunguza mafuta ya petrol kila mwezi, mnakosa vipi hela za kumalizia mradi ufike Bunju?

Kama ambavyo huu mradi unafika Rangi3, kibaha ulipaswa ufike hadi Bunju pia
Well design inayofanyika ina cover mpaka Bunju Mwisho (sokoni) ila utekelezaji utaishia Boko kwanza ndio WB wameachia mpunga huo kwenye ujenzi ila kwenye design stage inafika Bunju. Serikali inaweza kuamua kuongeza hela zake ikamalizia hiko kipande
 
Ikifika huko mnataka sisi wamiliki wa daladala tukale wapi? Wacha uishie mbagala ili daladala zipate abiria wa kupeleka chamazi,mbande,kisewe,msongola,kivule,mvuti,dondwe,chanika, kisemvule,mwandege,vikindu ,mkuranga.

Na huko uishie boko ili tupate abiria wa bunju,zinga,kerege ,b/moyo n.k
 
Kati ya mradi wa hovyo ni huu utopolo unaoitwa mradi wa mwendo kasi.kwa Tanzania huu mradi ni matumizi mabaya ya pesa za umma kwa sababu zinatumia pesa nyingi za umma kujenga miundomini lakini ufanisi wake ni sifuri kabisa.magari haya hayaheshimu muda,wanabeba watu wengi kupita kias kwenye gari moja na pesa wanazopata zinaishia kupigwa na wachache.Njia nzuri ya kyondoa msongamano ni trani za mijini pamoja na kupanua barabara ili ziwe na njia nne kila upande

Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe tatizo si miundombinu bali ni uendeshaji wa mradi huona kama umerusha jiwe sipo?kwa maana hata zikiwa train watu si wale wale watanzania?
 
Back
Top Bottom