King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ikifika huko mnataka sisi wamiliki wa daladala tukale wapi? Wacha uishie mbagala ili daladala zipate abiria wa kupeleka chamazi,mbande,kisewe,msongola,kivule,mvuti,dondwe,chanika, kisemvule,mwandege,vikindu ,mkuranga.
Na huko uishie boko ili tupate abiria wa bunju,zinga,kerege ,b/moyo n.k
Rangi3 pale pia wamechemka Kongowe ndio ingefaa. Miundo mbinu ya kutoka pale kwenda Kongowe na Chamanzi ni single road; foleni foleni.
Ilifaa ifike vikindu sema akili za CCM Zipo Kwa mtkRangi3 pale pia wamechemka Kongoee ndio ingefaa. Miundo mbinu ya kutoka pale kwenda Kongowe na Chamanzi ni sinlge road; foleni foleni.
Pili kufika Bunju sio hoja hoja ilitakiwa wajenge road ingine kabisa hii Bagamoyo ibaki kama ilivyo. Kwa sasa ipo vizuri; kinachofuate inabomolewa na kujengea upya na mwenfpkasi, hili nalo litazamwe
Train inabeba watu wengi zaidi kwa pamoja na uendeshaji wake ni rahis kuliko mwendokasi.uendeshaji wa mwendokasi umekuwa mbovu kwa sababu wanatumia magari machache kwa kuwabananisha ili kubana matumizi.vilevile muda hauzingatiwi kwa lengo la kusubiri abria ili wawe wengi wawabananishe .Ingekuwa train hii kero isingekuwepo maana ikipita mara moja ni sawa na mabasi ya mwendokasi 10.Na upanuzi wa barabara ni mhimu sana maana ukiangalia pale kimara kwenda hukombezi luis hakuna kabisa msongamano sababu barabara ni pana.kumbe tatizo si miundombinu bali ni uendeshaji wa mradi huona kama umerusha jiwe sipo?kwa maana hata zikiwa train watu si wale wale watanzania?
DART Mwendokasi kuishia Boko hapo serikali imechemka ilipaswa ifike Bunju mwisho
Kwakweli serikali yetu imechemka kwenye hili maana baadae watakuja tena itabidi waje kuongeza
Ilipaswa mwendokasi ifike Bunju Mwisho pale sio mambo ya kuishia Boko halafu baadae mje tena kusema mtaongeza tena hadi bunju hapo mtawapa tena wananchi kazi ya kuwabomolea miundombinu yao bora sasa ingejengwa hadi bunju mjuwe mmemaliza.
Watasema hawana fedha, wakati mapesa ya kujenga mashule ya uviko na kununua mandege mnayo.
Kama mnaweza kutumia bilioni 555 kununulia magari kila mwaka, bilioni 340 za mabango ya kumsifi mama kila mahali, bilioni 100 mnazodai eti ni ruzuku ya kupunguza mafuta ya petrol kila mwezi, mnakosa vipi hela za kumalizia mradi ufike Bunju?
Kama ambavyo huu mradi unafika Rangi3, kibaha ulipaswa ufike hadi Bunju pia
Unaishi kwa kukariri na swala na maendeleo sio kuwa darHuko kote kwanza sio Dar
Hehe mbona mna mindUnaishi kwa kukariri na swala na maendeleo sio kuwa dar
mapesa wanayoDART Mwendokasi kuishia Boko hapo serikali imechemka ilipaswa ifike Bunju mwisho
Kwakweli serikali yetu imechemka kwenye hili maana baadae watakuja tena itabidi waje kuongeza
Ilipaswa mwendokasi ifike Bunju Mwisho pale sio mambo ya kuishia Boko halafu baadae mje tena kusema mtaongeza tena hadi bunju hapo mtawapa tena wananchi kazi ya kuwabomolea miundombinu yao bora sasa ingejengwa hadi bunju mjuwe mmemaliza.
Watasema hawana fedha, wakati mapesa ya kujenga mashule ya uviko na kununua mandege mnayo.
Kama mnaweza kutumia bilioni 555 kununulia magari kila mwaka, bilioni 340 za mabango ya kumsifi mama kila mahali, bilioni 100 mnazodai eti ni ruzuku ya kupunguza mafuta ya petrol kila mwezi, mnakosa vipi hela za kumalizia mradi ufike Bunju?
Kama ambavyo huu mradi unafika Rangi3, kibaha ulipaswa ufike hadi Bunju pia