Mwendokasi Route ya Mbezi Louis abiria wapo serious sana

Mwendokasi Route ya Mbezi Louis abiria wapo serious sana

Manake tunajitambua, kupiga story hazina kichwa wala miguu, kupiga umbea sio jadi ya watu wa Mbezi🤣🤣
 
Huo muda wakupigaa story unapata wap wakati uendakoo asubuh ujui km utarudi na chcht ktu au n unarudi mtupu ,na wakt wakurudi piaa unakuta cku nzmaa ujaingiza chcht zaidi yakutoa tu ,,,hzo story utakazopigaa unazitoa wapi au zitauhusu nn wkt upo apechee alolo mkuuu,,,,,km una mahali unapata mia yako au miambili yk mkuu shukuru mkuu,

KUNA WATU WANAISHI CKU ZIENDE KUJIUWA TU NDIO HAWAWEZII ILA MAISHA N MAGUMUU ASIKWAMBIE MTU MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachaga wako serious na maisha. Panda Mbagala uone wamakonde wanavyopiga kelele kama watoto wa chekechea.
Pesa ni muhimu kwakweli, ile root ina watu wengi sana, kwa kero ya huo usafiri ukiutumia mara moja tu hauwezi rudia tena kuutumia. Usafiri gani unapanda ukishuka unatoka umeloana mijasho na nguo zimejikunja kunja. Usafiri wa umma kibongo bongo ni kwa ajili ya watu masikini
 
Pesa ni muhimu kwakweli, ile root ina watu wengi sana, kwa kero ya huo usafiri ukiutumia mara moja tu hauwezi rudia tena kuutumia. Usafiri gani unapanda ukishuka unatoka umeloana mijasho na nguo zimejikunja kunja. Usafiri wa umma kibongo bongo ni kwa ajili ya watu masikini
Ni kweli kabisa
 
Wachaga wako serious na maisha. Panda Mbagala uone wamakonde wanavyopiga kelele kama watoto wa chekechea.
Mbona asilimia kubwa ya wanaokaa mbezi sio Wachagga?

Wachagga ni kama robo tu, wengine ni makabila mengine
 
Mbona asilimia kubwa ya wanaokaa mbezi sio Wachagga?

Wachagga ni kama robo tu, wengine ni makabila mengine
Sasa robo ni 25%
Kwa makabila 124 ya Tanzania ni wengi sana hao,ina maana kila watu wanne mmoja ni mchaga
 
Naomba kujua,kwanini kwenye magari ya mwendokasi madereva wengi pamoja na wahudum ni askari na maafisa usalama?
 
Hivi ni rahisi kuanzisha story na mtu usiemjua?
 
Huo muda wakupigaa story unapata wap wakati uendakoo asubuh ujui km utarudi na chcht ktu au n unarudi mtupu ,na wakt wakurudi piaa unakuta cku nzmaa ujaingiza chcht zaidi yakutoa tu ,,,hzo story utakazopigaa unazitoa wapi au zitauhusu nn wkt upo apechee alolo mkuuu,,,,,km una mahali unapata mia yako au miambili yk mkuu shukuru mkuu,

KUNA WATU WANAISHI CKU ZIENDE KUJIUWA TU NDIO HAWAWEZII ILA MAISHA N MAGUMUU ASIKWAMBIE MTU MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo tuconclude kuwa abiria wa route ya Mbezi ni hoe hae
 
Sasa robo ni 25%
Kwa makabila 124 ya Tanzania ni wengi sana hao,ina maana kila watu wanne mmoja ni mchaga
Ila kwenye bus la watu 100, 25 tu ndio wachaga, 75 makabila mengine
Iweje uwa address kama wote ni Wachaga?
 
Back
Top Bottom