Mwendokasi wana cha kujifunza kwa Azam pale ferry, watanzania wanataka huduma Bora na sio bora huduma

Mwendokasi wana cha kujifunza kwa Azam pale ferry, watanzania wanataka huduma Bora na sio bora huduma

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Kuna kitu kikubwa sana cha kujifunza ukienda pale Ferry Kigamboni kwenye kivuko kuna uwekazaji umefanyika na Azam yaani unaona kabisa kuna maisha sasa Kigamboni na watanzania wanaishi kwa kutokuwaza kero zilizowahi kuwepo za kivuko yaani vitu class kabisa unakutana navyo.

Pale Ferry kwa wazo liende kwenye sekta tofauti za Serikali wananchi wanapenda huduma nzuri Mfano mwendokasi waende wakaone pale
 
Vitu gani hivyo Mkuu? Sisi wengine tupo nanjilinji

Type uhondo japo kidogo
 
Ukiona mahali watu wanateseka na watu wenye uwezo wa kufanya maamuzi kubadili mambo hawajali basi ujue hao wenye uwezo wa kufanya maamuzi ni wachawi!! Furaha ya mchawi ni kukutesa na kuona watu wanateseka
 
Kuna kitu kikubwa sana cha kujifunza ukienda pale Ferry Kigamboni kwenye kivuko kuna uwekazaji umefanyika na Azam yaani unaona kabisa kuna maisha sasa Kigamboni na watanzania wanaishi kwa kutokuwaza kero zilizowahi kuwepo za kivuko yaani vitu class kabisa unakutana navyo.

Pale Ferry kwa wazo liende kwenye sekta tofauti za Serikali wananchi wanapenda huduma nzuri Mfano mwendokasi waende wakaone pale
Kuborewsh
Kuna kitu kikubwa sana cha kujifunza ukienda pale Ferry Kigamboni kwenye kivuko kuna uwekazaji umefanyika na Azam yaani unaona kabisa kuna maisha sasa Kigamboni na watanzania wanaishi kwa kutokuwaza kero zilizowahi kuwepo za kivuko yaani vitu class kabisa unakutana navyo.

Pale Ferry kwa wazo liende kwenye sekta tofauti za Serikali wananchi wanapenda huduma nzuri Mfano mwendokasi waende wakaone pale
APEWE NA MWENDOKASI NA TRENI
Kuna kitu kikubwa sana cha kujifunza ukienda pale Ferry Kigamboni kwenye kivuko kuna uwekazaji umefanyika na Azam yaani unaona kabisa kuna maisha sasa Kigamboni na watanzania wanaishi kwa kutokuwaza kero zilizowahi kuwepo za kivuko yaani vitu class kabisa unakutana navyo.

Pale Ferry kwa wazo liende kwenye sekta tofauti za Serikali wananchi wanapenda huduma nzuri Mfano mwendokasi waende wakaone pale
Apewe yeye pamoja na Treni simple
 
Kuna kitu kikubwa sana cha kujifunza ukienda pale Ferry Kigamboni kwenye kivuko kuna uwekazaji umefanyika na Azam yaani unaona kabisa kuna maisha sasa Kigamboni na watanzania wanaishi kwa kutokuwaza kero zilizowahi kuwepo za kivuko yaani vitu class kabisa unakutana navyo.

Pale Ferry kwa wazo liende kwenye sekta tofauti za Serikali wananchi wanapenda huduma nzuri Mfano mwendokasi waende wakaone pale
Tumpe Bakhressa mwendo kasi
 
Mwendokasi apewe Tilisho aweke ma bus yeye.. huduma itakuwa nzuri hapo abiria tutapewa mpaka soda kwenye bus
 
Ukiona mahali watu wanateseka na watu wenye uwezo wa kufanya maamuzi kubadili mambo hawajali basi ujue hao wenye uwezo wa kufanya maamuzi ni wachawi!! Furaha ya mchawi ni kukutesa na kuona watu wanateseka
Ha ha ha ha ha....naunga mkono hoja !
 
Back
Top Bottom