KuborewshKuna kitu kikubwa sana cha kujifunza ukienda pale Ferry Kigamboni kwenye kivuko kuna uwekazaji umefanyika na Azam yaani unaona kabisa kuna maisha sasa Kigamboni na watanzania wanaishi kwa kutokuwaza kero zilizowahi kuwepo za kivuko yaani vitu class kabisa unakutana navyo.
Pale Ferry kwa wazo liende kwenye sekta tofauti za Serikali wananchi wanapenda huduma nzuri Mfano mwendokasi waende wakaone pale
APEWE NA MWENDOKASI NA TRENIKuna kitu kikubwa sana cha kujifunza ukienda pale Ferry Kigamboni kwenye kivuko kuna uwekazaji umefanyika na Azam yaani unaona kabisa kuna maisha sasa Kigamboni na watanzania wanaishi kwa kutokuwaza kero zilizowahi kuwepo za kivuko yaani vitu class kabisa unakutana navyo.
Pale Ferry kwa wazo liende kwenye sekta tofauti za Serikali wananchi wanapenda huduma nzuri Mfano mwendokasi waende wakaone pale
Apewe yeye pamoja na Treni simpleKuna kitu kikubwa sana cha kujifunza ukienda pale Ferry Kigamboni kwenye kivuko kuna uwekazaji umefanyika na Azam yaani unaona kabisa kuna maisha sasa Kigamboni na watanzania wanaishi kwa kutokuwaza kero zilizowahi kuwepo za kivuko yaani vitu class kabisa unakutana navyo.
Pale Ferry kwa wazo liende kwenye sekta tofauti za Serikali wananchi wanapenda huduma nzuri Mfano mwendokasi waende wakaone pale
Kama magufuli alivyokuwaUkiona mahali watu wanateseka na watu wenye uwezo wa kufanya maamuzi kubadili mambo hawajali basi ujue hao wenye uwezo wa kufanya maamuzi ni wachawi!! Furaha ya mchawi ni kukutesa na kuona watu wanateseka
Tumpe Bakhressa mwendo kasiKuna kitu kikubwa sana cha kujifunza ukienda pale Ferry Kigamboni kwenye kivuko kuna uwekazaji umefanyika na Azam yaani unaona kabisa kuna maisha sasa Kigamboni na watanzania wanaishi kwa kutokuwaza kero zilizowahi kuwepo za kivuko yaani vitu class kabisa unakutana navyo.
Pale Ferry kwa wazo liende kwenye sekta tofauti za Serikali wananchi wanapenda huduma nzuri Mfano mwendokasi waende wakaone pale
Acha miyeyusho, wewe nanjilinji huja wahi kufika boya weeVitu gani hivyo Mkuu? Sisi wengine tupo nanjilinji
Type uhondo japo kidogo
Ha ha ha ha ha....naunga mkono hoja !Ukiona mahali watu wanateseka na watu wenye uwezo wa kufanya maamuzi kubadili mambo hawajali basi ujue hao wenye uwezo wa kufanya maamuzi ni wachawi!! Furaha ya mchawi ni kukutesa na kuona watu wanateseka