Ukilima unasubiri mvua tu hakuna wa kumlaumu labda sr God achelewe kufungulia bomba na visima vikaukeWadau nipo kwenye biashara ya Hardware mwaka wa pili sasa, mwanzo biashara ilikuwa poa mpaka nikawa najisemea biashara ndiyo hii!
Hali imechange sana mwaka huu japo mwaka jana hali ilianza kudorola taratibu, sasa mwaka huu hata kipindi ambacho huwa tunaona ni cha biashara mambo yamekuwa sio kabisa!
Kwakweli stress nilizonazo hazielezeki, mzigo umejaa dukan wateja hakuna mtu unakomaa kwa siku unaondoka na elf 20.
Hapa nawaza niswitch kwenda kwenye biashara gani nashindwa kuelewa!
Vipi huko wenzetu hali ya biashara ikoje, mtu asije akaniambia niingie Forex hiyo naifahamu tayari!
Bado mkuu, mahindi watu tangu wavune hadi leo bei haijafikia kiwango cha faidaUkilima unasubiri mvua tu hakuna wa kumlaumu labda sr God achelewe kufungulia bomba na visima vikauke
TrueMbaya zaidi ukiwa na mkopo benki afu mwisho wa mwezi unatakiwa kurudisha marejesho hapo ndio utajuta kuwa mfanyabiashara.....
Ila all in all huu ni upepo yote yatapita na mambo yatarudi kuwa kama yalivyokuwa mwanzo...
Hili n tatizo mana kila mtu atakimbilia kwa kilimo sasa sijui kuhusu soko la nje la kuuza bidhaa linasemaje! Itafikia mahala ulicholima utakula ww na familia,,Bado mkuu, mahindi watu tangu wavune hadi leo bei haijafikia kiwango cha faida