Pre GE2025 Mwenezi CCM Dodoma: Wanaochukia wanaomsifia Rais Samia wana hulka ya roho mbaya

Pre GE2025 Mwenezi CCM Dodoma: Wanaochukia wanaomsifia Rais Samia wana hulka ya roho mbaya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed amesema yeyote anayekerwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kusifiwa kwa maendeleo makubwa aliyoyafanya basi mtu huyo siyo mzalendo na achague kukaa kimya kama hana cha kuzungumza.

Jawadu ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesisitiza kuwa wanaomsifia Rais ni watu waliokata tamaa na ni watu waliotamani kuona kushindwa kwa Rais Samia katika uongozi wake.

Pia soma > Dodoma: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


 
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed amesema yeyote anayekerwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kusifiwa kwa maendeleo makubwa aliyoyafanya basi mtu huyo siyo mzalendo na achague kukaa kimya kama hana cha kuzungumza.

Jawadu ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesisitiza kuwa wanaomsifia Rais ni watu waliokata tamaa na ni watu waliotamani kuona kushindwa kwa Rais Samia katika uongozi wake.

Pia soma > Dodoma: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Tena sana, sasa hivi wamejaa matusi sana mtandaoni
 
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed amesema yeyote anayekerwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kusifiwa kwa maendeleo makubwa aliyoyafanya basi mtu huyo siyo mzalendo na achague kukaa kimya kama hana cha kuzungumza.

Jawadu ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesisitiza kuwa wanaomsifia Rais ni watu waliokata tamaa na ni watu waliotamani kuona kushindwa kwa Rais Samia katika uongozi wake.

Pia soma > Dodoma: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Wasted sperm...... Mzazi wake angetumia ndomu Tu kuliko hii hasara
 
Wanamsifia au uroho wa madaraka, bwana yule wa Arsha wakati anaongea na wananchi baada ya kumkimbia kamanda, kila sentensi aliyokua akiongea lazima ataje jina la Rais, huko sio kumsifia,mnampaka mama mafuta kwa mgongo wa chupa. Unamsifia vipi wakati humheshimu mteule wake.
 
Wa
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed amesema yeyote anayekerwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kusifiwa kwa maendeleo makubwa aliyoyafanya basi mtu huyo siyo mzalendo na achague kukaa kimya kama hana cha kuzungumza.

Jawadu ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesisitiza kuwa wanaomsifia Rais ni watu waliokata tamaa na ni watu waliotamani kuona kushindwa kwa Rais Samia katika uongozi wake.

Pia soma > Dodoma: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Wape baba
 
Back
Top Bottom