Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Kuna baadhi ya maeneo wagombea wa CHADEMA wameenguliwa lakani wengine wanafurahia mchakato unavyoendeshwa hadi sasa.
=============
Mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Ambrose Ndege, amepongeza mchakato wa uteuzi wa wagombea wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 kwa Wilaya ya Simanjiro kwa majina ya waogembea wao wote kurudishwa ili kuendelea na mchakato wa uchaguzi.
Soma Pia:
=============
Mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Ambrose Ndege, amepongeza mchakato wa uteuzi wa wagombea wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 kwa Wilaya ya Simanjiro kwa majina ya waogembea wao wote kurudishwa ili kuendelea na mchakato wa uchaguzi.
Soma Pia:
- Mchengerwa: Wagombea ambao hawajaridhishwa na uteuzi, waweke pingamizi
- Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024