LGE2024 Mwenezi CHADEMA Simanjiro amepongeza mchakato wa uteuzi wa wagombea wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024

LGE2024 Mwenezi CHADEMA Simanjiro amepongeza mchakato wa uteuzi wa wagombea wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kuna baadhi ya maeneo wagombea wa CHADEMA wameenguliwa lakani wengine wanafurahia mchakato unavyoendeshwa hadi sasa.

=============

Mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Ambrose Ndege, amepongeza mchakato wa uteuzi wa wagombea wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 kwa Wilaya ya Simanjiro kwa majina ya waogembea wao wote kurudishwa ili kuendelea na mchakato wa uchaguzi.

Soma Pia:

 
Back
Top Bottom