Pre GE2025 Mwenezi Makala: Msigwa karibu CCM, huko wanakuonea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwanas

.......tangu wakati wa jiwe na familia zao kuwa ndugu nilijua ipo siku ataenda ccm tu.....hapo DC soon najua deal done
Huyu msigwa mimi mwenyewe niliwah kuwaza hivo hivo ilikua ni suala la muda tu haya kama kipindi kile enzi za magu wakati wamewekwa ndani na kuamuriwa kulipa faini kwani aliemsaidia kulipa pia alikua ni magufuli so kimsingi huyu mtu alikua ni ccm ndani ya chadema
 
Okay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…