Mwenge university(mwuce)

Mwenge university(mwuce)

Cndy kasemb

Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
6
Reaction score
1
Tuliambiwa kuwa Majina ya waliorekebisha fom zao Heslb yatatoka kuanzia tarehe 8.november lakini hadi leo hakuna jina hata moja lililotoka.Kuna vyuo vingine watu wamesain na tayari wameshaingiziwa pesa zao, yoyote mwenye Idea tusaidiane jaman au ndo tumekosa tena mkopo?
 
kumbe na nyinyi huwa mnapewa,mabilioni ya Jk yanapotea
 
kumbe na nyinyi huwa mnapewa,mabilioni ya Jk yanapotea

nahisi ni wewe peke yako kijijin kwenu uliebahatika kujua kusoma na kuandika ndo maana unasumbua, co kila topic lazma uchangie u bitch
 
Tuliambiwa kuwa Majina ya waliorekebisha fom zao Heslb yatatoka kuanzia tarehe 8.november lakini hadi leo hakuna jina hata moja lililotoka.Kuna vyuo vingine watu wamesain na tayari wameshaingiziwa pesa zao, yoyote mwenye Idea tusaidiane jaman au ndo tumekosa tena mkopo?


Mungu wangu wee. Hivi kuna Mwenge University?. R.I.P Elimu TZ.
 
Chuo kipo singida nini? Ndo nakisikia leo tena ni university..?
 
nahisi ni wewe peke yako kijijin kwenu uliebahatika kujua kusoma na kuandika ndo maana unasumbua, co kila topic lazma uchangie u bitch
una uhakika gani kuwa natoka sehemu ambao wasomi wachache?????? dogo tulia
 
ucje ukajiona uko bora sana mshenz ww kw nn ucpite kama unaona hayakuhusu f*ck u ms*ng ww
mm siwezi kabisa kumtukana mtu hata kidogo kama ulivyonifanyia,ila tatizo madogo wa siku hizi mmekuwa na umulugo type ndo mnasumbua sana
 
Chuo kipo singida nini? Ndo nakisikia leo tena ni university..?

Hapana mkuu Chuo kipo nyumbani kwako kwenye hicho chumba cha pili na Baba yako ndo principle wa hicho chuo.Kama ulikuwa una cha kusema ni vema tu ungepita kuliko kutuletea matapishi yako hapa.
 
mm siwezi kabisa kumtukana mtu hata kidogo kama ulivyonifanyia,ila tatizo madogo wa siku hizi mmekuwa na umulugo type ndo mnasumbua sana

Wewe mkuu ndo mwenye matatizo kama ulikuwa una cha kupost ni vema ungepita kuliko kuandika upuuzi,Mwenzio anaomba msaada wa kueleweshwa inakuaje wewe unaleta kejeli zako.Nafikiri wewe ni product ya Mungai ile ya Chemistry na physics ni somo moja.Kwa kweli unastaili matusi na ingekuwa mnaonana ungechezea kichapo.
 
CHUO KIPO MOSHI NEAR KCMC,ni branch ya st agustine...kama hukijui waulize TCU.then acheni dharau na kudandia mada kama hujui kitu tulia kimya.
 
Wewe mkuu ndo mwenye matatizo kama ulikuwa una cha kupost ni vema ungepita kuliko kuandika upuuzi,Mwenzio anaomba msaada wa kueleweshwa inakuaje wewe unaleta kejeli zako.Nafikiri wewe ni product ya Mungai ile ya Chemistry na physics ni somo moja.Kwa kweli unastaili matusi na ingekuwa mnaonana ungechezea kichapo.
boya hata wewe dogo
 
Back
Top Bottom