Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
- Thread starter
-
- #21
Huyu kichaa mpigamsuli wa wapi huyu? Maana haeleweki ukichek post zake zinachanganya sana, yaan ni kama akili hana vilevile kichaaa pia hana loh!,
Huyu jamaa mara anasema kachaguliwa Mkwawa mara Mwenge sijui wa wapi??
degree ya education ya mwenge ni sawa na mwanafunzi wa form six tu
Hiki ni chuo au s/m?,nimeamin ni kama s/m coz kuna jamaa nimexoma nao a-level nilpata 1 pt 5 nilienda udsm(edu)wao walienda mwenge unvsty,nimetoka na gpa ya 3.8 mmoja wao kapga 4.6 .na kwa bahat nzur tumetupwa bush shule za kata jiran,wanafunz wameandamana had kwa mkuu wa shule wakidai jamaa majanga,na sis 2namfahm kichwan hamna kitu.
Yaani wewe unakurupuka tu na hiyo research yako ambayo haina mashiko, hizo first class kibao umezionea wapi wewe mtu?
Kwa taarifa yako kuna first class tatu tu, moja ya 4.7 na mbili 4.5,
na zaidi ukitaka ujue product ya Mwenge inafanya nini rudi kafanya utafiki wako ktk mikoa ya arusha, manyara, kilimanjaro, na tanga ukaulize ni chuo gani ambao wanapiga kazi inayoeleweka wakati wa field then utapata jibu. HUSIWE UNAKURUPUKA NA CHUKI BINAFSI KICHWANI. Nyie ndio mnaharibu dhana nzima ya ugreat thinker hapa jamvini, hizo ni akili za facebook. Pyuuuuu
leo nimeenda kwenye hiki chuo ninayoyaona ni aibu sana ,nimeenda kwenye noticeboard yao nikakuta matokeo yamebandikwa kwa majina kabisaa ,hizo G.P.Asasa ni hatari ni mafirst class na maupper second tu nimeamini hiki ni chuo cha kata,
Hiki ni chuo au s/m?,nimeamin ni kama s/m coz kuna jamaa nimexoma nao a-level nilpata 1 pt 5 nilienda udsm(edu)wao walienda mwenge unvsty,nimetoka na gpa ya 3.8 mmoja wao kapga 4.6 .na kwa bahat nzur tumetupwa bush shule za kata jiran,wanafunz wameandamana had kwa mkuu wa shule wakidai jamaa majanga,na sis 2namfahm kichwan hamna kitu.
Hahahaha nimeona mwenyewe mafirst class kibaoo chuo kama shule ya msingi
Duuh mwenge university bana majanga
napita
Naona leo unarusha ngumi halafu unairudisha mfukoni!
napita