Mwenge wa Uhuru Musoma Vijijini Wazindua Miradi ya Bilioni 3.5

Mwenge wa Uhuru Musoma Vijijini Wazindua Miradi ya Bilioni 3.5

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MWENGE WA UHURU MUSOMA VIJIJINI: MIRADI YA THAMANI YA TSH 3.5 BILIONI YAKAGULIWA NA KUKUBALIKA

Mwenge wa Uhuru ulipokelewa kwa shangwe nyingi mno kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Musoma DC) yenye Jimbo la Musoma Vijijini. Hiyo ilikuwa juzi, Jumatano, 31.7.2024

Miradi yote 7 ilikaguliwa na kukubalika. Miradi hiyo ni ya ujenzi wa shule (miradi 2), zahanati, na barabara. Mingine ni ya usambazaji wa maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria (miradi 2) na kikundi cha vijana (uchumi).

Wananchi wa Musoma Vijijini walitoa shukrani nyingi za dhati kwa Serikali yetu inayoongozwa vizuri na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Tafadhali sikiliza VIDEO/CLIP iliyoambatanishwa hapa.

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

P. O. Box 6
Musoma

Tarehe:
Ijumaa, 2.8.2024
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2024-08-02 at 17.59.14.mp4
    36.4 MB

MWENGE WA UHURU MUSOMA VIJIJINI: MIRADI YA THAMANI YA TSH 3.5 BILIONI YAKAGULIWA NA KUKUBALIKA

Mwenge wa Uhuru ulipokelewa kwa shangwe nyingi mno kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Musoma DC) yenye Jimbo la Musoma Vijijini. Hiyo ilikuwa juzi, Jumatano, 31.7.2024

Miradi yote 7 ilikaguliwa na kukubalika. Miradi hiyo ni ya ujenzi wa shule (miradi 2), zahanati, na barabara. Mingine ni ya usambazaji wa maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria (miradi 2) na kikundi cha vijana (uchumi).

Wananchi wa Musoma Vijijini walitoa shukrani nyingi za dhati kwa Serikali yetu inayoongozwa vizuri na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Tafadhali sikiliza VIDEO/CLIP iliyoambatanishwa hapa.

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

P. O. Box 6
Musoma

Tarehe:
Ijumaa, 2.8.2024
Wilaya zingine hadi bilioni kumi.Ninyi mnashindwa kuibua?Vichwa maji ninyi.Changamkeni muibue miradi mingi.
 
Huo moto ni wanazi wa sisiemu tu wanaelewa maana yake..
 
Mkuu unapata wapi ujasiri wa kuleta JF story ya kizee kama Hii? story za mwenge ziachiwe uvinza FM and others sio JF jukwaa kubwa la hoja nzito zenye mashiko
 
Mkuu unapata wapi ujasiri wa kuleta JF story ya kizee kama Hii? story za mwenge ziachiwe uvinza FM and others sio JF jukwaa kubwa la hoja nzito zenye mashiko
Hajakosea.Ila,wilaya nzima miradi ya 3.5 blns?Huu ni upotezaji wa muda.Kuanzia vitongoji,vijiji,mitaa,kata (tarafa)hadi halmashauri wanashindwaje kuibua miradi mizuri,yenye kuilenga jamii na yenye tija mingi?These people are hopelesses.Wajitafakari.
 
Hajakosea.Ila,wilaya nzima miradi ya 3.5 blns?Huu ni upotezaji wa muda.Kuanzia vitongoji,vijiji,mitaa,kata (tarafa)hadi halmashauri wanashindwaje kuibua miradi mizuri,yenye kuilenga jamii na yenye tija mingi?These people are hopelesses.Wajitafakari.
3.5 Alafu gharama inayotumika Kuuzungusha huo mwenge kwenye halmashauri moja ni Kubwa sana.

Na miradi inayoibuliwa haina hata uhalisia wakati mwingine wanatembeleahadi lodge na Guest za Uchochoroni kuweka mawe ya msingi na kuzindua
 
Back
Top Bottom