Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Bila shaka kichwa cha habari kinajieleza vizuri sana.
Binafsi sina tatizo na falsafa ya uanzishwaji wa mbio za mwenge wa uhuru. Tatizo langu kubwa ni namna wanavyoweza kuathiri afya za wanaoukimbiza.
Nishati inayotumika sio rafiki kwa afya za wanaoukimbiza na hata walio karibu nao mahali unapowasili.
Kama tunavyofanya jitihada za kuzuia matumizi ya kuni na mkaa kwa kupikia, vivyo hivyo tujitahidi kubuni njia mbadala ya kuufanya mwenge wa uhuru uweze kutoa mwanga. Vijana wanateseka sana na moshi.
Naomba kuwasilisha.
Binafsi sina tatizo na falsafa ya uanzishwaji wa mbio za mwenge wa uhuru. Tatizo langu kubwa ni namna wanavyoweza kuathiri afya za wanaoukimbiza.
Nishati inayotumika sio rafiki kwa afya za wanaoukimbiza na hata walio karibu nao mahali unapowasili.
Kama tunavyofanya jitihada za kuzuia matumizi ya kuni na mkaa kwa kupikia, vivyo hivyo tujitahidi kubuni njia mbadala ya kuufanya mwenge wa uhuru uweze kutoa mwanga. Vijana wanateseka sana na moshi.
Naomba kuwasilisha.