Mwenge wabaini ufisadi wa TZS 65B kwenye miradi 49 ya halmashauri 38 Je, nini kitaendelea?

😂😂😂
Ule mwenge Kuna jambo si bure, ukute kuna matambiko ya kufa mtu, kama unaamini kwenye uchawi huna budi kuamini kwenye Mwenge...
Sina uhakika lakini, haiwezekani watu watumie gharama kiasi hiko...
Ndio kuna jambo ambalo ni,

Kuleta nuru kwenye giza
Kuleta amani kwenye mafarakano
Kuleta Upendo kwenye chuki
Kuleta furaha penye huzuni
Kuleta faraja kwenye kukata tamaa
Kuleta umoja kwenye utengamano
Kuleta heshima kwenye dharau,
Kumulika wezi na walanguzi
 
Asante sana kwa ufafanuzi mzuri,

Uzalendo unahitajika sana kwaajili ya Taifa hili
 
Mkuu naona hujajua vizuri kuhusu falsafa,
 
Waooh,

Kazi nzuri sana hii ya mwenge wa Uhuru,
Wenye dhamana kuweni makini acheni kucheza na pesa za watoto hawa wa masiki mwisho wenu utakuwa mbaya,
 
Kila siku huwa nawaambia serikali ya Jiwe ilijaa wezi na yeye akiwafumbia macho kwa sababu alijaza watoto wa Kanda pendwa.

Ulikuwa huwezi sikia mambo ya fushwa ,ukitamka tuu wanakufanya kitu mbaya yaani ni mwendo wa pambio za Jiwe na kujiita wazalendo huku wakiiba nchi.

Ukiitisha uchunguzi kwenye miradi ya Jiwe utastaajabu ya wazalendo majizi.
 
Mungu amsimamie Rais wetu anakwenda vizuri
 
Mkuu inbox
 
Machadomo yalisema mwenge hauna faida yataufuta,
Bila mwenge tungejuaje wizi wa haya mabilioni,
Yasichaguliwe sera zao ni tatanishi sana
Kwa hiyo CAG, TAKUKURU na TISS wafutwe, kubaki na mwenge tu. Huyo Kiongozi wa mbio za mwenge anapata wapi taarifa za matumizi mabaya ya fedha ?
 
Kwa hiyo CAG, TAKUKURU na TISS wafutwe, kubaki na mwenge tu. Huyo Kiongozi wa mbio za mwenge anapata wapi taarifa za matumizi mabaya ya fedha ?
No, Mkuu hata hiyo makala mbona imesema inaripoti ya TAKUKURU?

MWENGE NI WAMUHIMU KULIKO UMUHIMU WENYEWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…