Mwenye ajira na asiye na ajira kwenye zoezi la Sensa 2022 - itumike haki au busara?

Mwenye ajira na asiye na ajira kwenye zoezi la Sensa 2022 - itumike haki au busara?

sepema

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2019
Posts
591
Reaction score
1,001
Nisiku nyingine tena,

Kuna walioamka na hasira huku wengine wakiamka na furaha. Ndio, nazungumzia watu waliokuwa kwenye foleni za usaili wa ajira za muda katika zoezi la sensa.

Binafsi nilishiriki usaili huo Kama msailiwa niliyeomba moja Kati yanafasi zilizotangazwa.

Wakati unasubiriwa muda wa usaili ufike,watu walijijusanya kwa vikundi huku wakiongea stori mbalimbali walizoona zitawasogezea muda wa kusubiri.

Makundi mawili ya wasailiwa; kundi lakwanza ni wenye ajira serikalini ama binafsi na kundi lingine wasio na ajira popote.Kila mmoja anaitaka kazi!

Malalamiko yachinichini yalitawala maongezi kwenye makundi haya.Wenye ajira wanadai hawa wasio na ajira wamekuja kuziba riziki zao kwan kwa maelezo yao wanaamini kazi Kama hizi nizao tangu zamani.

Wasio na ajira walikuwa wanalalamika kwamba watu wenye ajira ni wa binafsi,walafi,wenye tamaa na wasio nahuruma.Walitoa hoja zao ambazo kimsingi Mimi nilizielewa.

Moja Kati ya hoja zao nikwamba hii ajira ni yamuda tu hivyo wenye ajira wangewaachia wasio na ajira ili walau nao wagange njaa.

Kisanga kikazuka baada ya fununu kupatikan kwamba kipaombele Nikwa wasio na ajira.

Waombaji wenye ajira zao walikunja sura kwa kiwango kikubwa.Wanataka wao ndo wapewe kipaombele.

Kwa kutumia haki kila aliyeomba nakuitwa Kwenye usaili lazima ashindanishwe na uamuzi utolewe sawa bila kujalisha muombaji ana kazi gan nyingine.Kwa kutumia busara huenda wasio na ajira ndo walitakiwa wapewe kipaombele zaidi iwapo watakidhi vigezo.

Swali langu;Itumike haki au busara?

Wasalaam!
 
Nikiongea naonekana mkuda. Huwa napenda kuwauliza swali hili wale wenye ajira ikiwa umeshindwa kujipanga kwa pesa unayoipata kila mwisho wa mwezi je unahisi pesa utakayoipata kwenye zoezi la sensa ndiyo itakutoa?

Jobless wote huwa wanaamini mtu anaeng'ang'ania ajira za sensa ameferi kiuchumi na kifedha.😂😂
 
Nikiongea naonekana mkuda. Huwa napenda kuwauliza swali hili wale wenye ajira ikiwa umeshindwa kujipanga kwa pesa unayoipata kila mwisho wa mwezi je unahisi pesa utakayoipata kwenye zoezi la sensa ndiyo itakutoa?

Jobless wote huwa wanaamini mtu anaeng'ang'ania ajira za sensa ameferi kiuchumi na kifedha.😂😂
Nao wasubiri wapate ajira tuone Kama hizi nafasi watazipotea dirisha lilikuwa wazi kwa watu wote.
 
Tulioitwa kwenye usaili tulikuwa 121

Watu waliohitajika ni 39!

Ila Kuna ka aibu flani mtumishi wa umma kujipanga kwenye foleni na bahasha ya vyeti ukisukumana na vijana wasio na ajira.

Nimewaza tu kwa sauti.
 
Daa majobless tunaomba ututonye waliuliza maswali gani ili huku ambako usaili bado tuone kama tutashindana vyema dhidi wale
 
Wangewapa kipaumbele wasio na ajira mtaani pagumu ati.
Ila maisha haya haturidhiki ukipata unatamani uongeze kipato.
 
Daa majobless tunaomba ututonye waliuliza maswali gani ili huku ambako usaili bado tuone kama tutashindana vyema dhidi wale
 

Attachments

  • PXL_20220720_083443458.jpg
    PXL_20220720_083443458.jpg
    658.2 KB · Views: 7
Tulioitwa kwenye usaili tulikuwa 121

Watu waliohitajika ni 39!

Ila Kuna ka aibu flani mtumishi wa umma kujipanga kwenye foleni na bahasha ya vyeti ukisukumana na vijana wasio na ajira.

Nimewaza tu kwa sauti.
Na wameaibika kweli!
 
Nisiku nyingine tena,

Kuna walioamka na hasira huku wengine wakiamka na furaha. Ndio, nazungumzia watu waliokuwa kwenye foleni za usaili wa ajira za muda katika zoezi la sensa.

Binafsi nilishiriki usaili huo Kama msailiwa niliyeomba moja Kati yanafasi zilizotangazwa.

Wakati unasubiriwa muda wa usaili ufike,watu walijijusanya kwa vikundi huku wakiongea stori mbalimbali walizoona zitawasogezea muda wa kusubiri.

Makundi mawili ya wasailiwa; kundi lakwanza ni wenye ajira serikalini ama binafsi na kundi lingine wasio na ajira popote.Kila mmoja anaitaka kazi!

Malalamiko yachinichini yalitawala maongezi kwenye makundi haya.Wenye ajira wanadai hawa wasio na ajira wamekuja kuziba riziki zao kwan kwa maelezo yao wanaamini kazi Kama hizi nizao tangu zamani.

Wasio na ajira walikuwa wanalalamika kwamba watu wenye ajira ni wa binafsi,walafi,wenye tamaa na wasio nahuruma.Walitoa hoja zao ambazo kimsingi Mimi nilizielewa.

Moja Kati ya hoja zao nikwamba hii ajira ni yamuda tu hivyo wenye ajira wangewaachia wasio na ajira ili walau nao wagange njaa.

Kisanga kikazuka baada ya fununu kupatikan kwamba kipaombele Nikwa wasio na ajira.

Waombaji wenye ajira zao walikunja sura kwa kiwango kikubwa.Wanataka wao ndo wapewe kipaombele.

Kwa kutumia haki kila aliyeomba nakuitwa Kwenye usaili lazima ashindanishwe na uamuzi utolewe sawa bila kujalisha muombaji ana kazi gan nyingine.Kwa kutumia busara huenda wasio na ajira ndo walitakiwa wapewe kipaombele zaidi iwapo watakidhi vigezo.

Swali langu;Itumike haki au busara?

Wasalaam!
Tatizo wafanyakazi wa serikali asilimia 90% ni wapumbavu tena wapumbavu kweli kweli ndiyo maana wengi walio furahia kifo cha jpm ni wao kwa sababu awathamini kazi bali wanathamini mishahara tu na ufisadi
 
Wangeonesha mfano kwa kamisaa wa sensa mwenyewe awe mtu asiye na ajira sasa nashangaa mtu amekuwa spika wa bunge kwa miaka 10 lakini ndio kamisaa wa sensa
 
Back
Top Bottom