Mwenye clip ya Kibwana Shomari akilamba nyasi.

Nilijua nimeona mm tu ile aibu. Kumbe Dunia nzima
 
Na Aziz kii pia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Job nae alikalia makalio chini ndiiiiiii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanasingizia mvua wakati walimfunga Monastir kukiwa na mvua
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanasingizia mvua wakati walimfunga Monastir kukiwa na mvua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan janaa full vituko,
Wachezaji wanazungushwa tyuuh km midoll.
Lol
 
Tusisahau na matobo wamepigwa na pasi za visigino. Kimsingi Yanga wamekumbushwa wao si kitu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanasingizia mvua wakati walimfunga Monastir kukiwa na mvua
Mnyama alimuua Wydad kwenye mvua.

Back in 2001, mnyama alimuua Ismailia ya Misri 2-0 kwenye mvua pale uwanja wa uhuru, magoli ya Joseph Kaniki Golotha.

Waache visingizio Uto.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…