Dah! Sidhani kama utakuta mwenye hiyo kopi maana mtu anapoandika ile barua hupeleka tu bila kuweka kumbukumbuHeshima kwenu wana jf
Msaada wenu mwenye copy ya Barua ya POSA anitumie tafadhari..
Muhimu sana
Heshima kwenu wana jf
Msaada wenu mwenye copy ya Barua ya POSA anitumie tafadhari..
Muhimu sana
Copy and paste mpaka barua za posa? ukisahau kubadili jina wakati wa kunakili itakuwaje?Heshima kwenu wana jf
Msaada wenu mwenye copy ya Barua ya POSA anitumie tafadhari..
Muhimu sana
Dah, mkuu copy za namna hiyo huwa hazipo.Lakini mbona ni rahisi sana ku-draft mkuu. Fanya mwenyewe bwana,usitutie aibu wanaume aisee. Mabinti wanakusoma ujue!Hivi jamani shule haikusaidia hata kidogo,mm.Heshima kwenu wana jf
Msaada wenu mwenye copy ya Barua ya POSA anitumie tafadhari..
Muhimu sana
aah.. Ko mtandaoni ndo zinapo patikanahata hili tunagoogle na kuomba msaada kitu ambacho ni too traditionally yaani hakina format yoyot hata mtoto wa chekechea anaweza kuipiga vizri tu.. Yaani Mtaani kwenu hakuna wazee, au watu wakubwa wa kukuongoza?
Kweli kucheza pool siyo mchezo mzuri..
Barua ya Posa inatafutwa mtandaoni? Man.....
aah.. Ko mtandaoni ndo zinapo patikana