Mwenye copy ya dawa zilizoruhusiwa kuuzwa kwenye duka la dawa muhimu/baridi

Naipuli

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
266
Reaction score
110
Habari waungwana!
Leo shida yangu nahitaji kupata copy ya orodha ya Dawa zilizoruhusiwa kuuzwa kwenye DUKA LA DAWA MUHIMU.
Tafadhari mwenye nayo naomba anipatie.

Ahsante!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…