Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
Hoja nyingine hazina msingi.... Watu kibao ni wapya...
Kitwanga ni msomi wa chuo kikuu dar 1987 Bsc Computing Science n Maths.... Amefanya sana kazi benki kuu kama mdogo hadi kuwa bosi kwa awamu pale IT department...
Kuhusu infosys ni nzima watu wameenda kufanya biashara na ni ma-agent wa kuaminika wa dell....
Kuhusu uzoefu... Mpaka sasa ni mwenyekiti wa CRB (Contractors Reg Board)
Nakumbuka sana. JK wakati anaanza kuitwa Rais (kwa sifa na majivuno, si kwa utendaji) alijigamba serikali yake 'haina ubia na mtu'. akaendelea zaid kusema ufike wakati wa 'kutenganisha biashara na siasa'
Sass huyu JK? Vipi?
Mbona Kitwanga aka Mawe Matatu ni mfanya biashara? Mbona amempa uwaziri? Au ndiyo kupozana? Kwa sababu 2005 alimwagwa kwenye kura za maoni?
Eeeh? Nauliza.
JK huyuhuyu hivi majuzi alikuja na staili ya kuwa atatuchagulia mawaziri 'waadilif na wachapakazi'. Vipi? Mbona Kitwanga siyo muadilifu? Mtu aliyevuruga kampuni aliyoanzisha na wenzake anafaa vipi kuwaongoza WaTz? Amesababisha kampuni kupoteza ma-Engineer na kupoteza wateja wakubwa kama NMB? Amesababisha mmoja wa wakrugenzi walioanzisha kampuni kujitoa licha ya mkurugenzi huyo kusaidia kupiga debe k=kampuni kupewa hadhi ya kuwa wakala wa DELL Tanzania? Kama ameshindwa kuongoza kampuni ya watu wasiozidi 100 ataweza Wizara inayotazamwa na WaTz 4 000 000?
Kama kuna uteuzi wenye utata uliofanywa na JK ni huu wa kumpa Kitwanga wizara. Ni urafiki na kujuana tu. Amempa ili iwe rahisi kupata tenda za kuuza computer za DELL kwenye taasisi za serikali....siasa na biashara damdam.
Hapo tu huwa simuamini JK.
Ukisoma btn lines inaonekana kuna maswala binafsi hapa.
Charles, sio mwadilifu kabisa katika nyanja zote - ni mmoja wa wamiliki wa Infosys. Wizi mtupu. Naibu waziri mawasiliano na sayansi na Teknlojia!
Kichwa habari kizuri sana, nilifikiri unaandika jinsi wabunge wa Chadema kila mmoja alivyoenda bungeni na wake. Kama siyo mke basi ni mtoto au mkwe au hawara na limahamsha hasira sana kwa sisi wanawake wa Chadema. Tume ya uchaguzi imekaa kimya wala haikemei jambo hilo la vigogo Chadema kuchakachua hilo.
Anarudi tena, hivi uadilifu wa mtu unapimwa kwa umasikini?.Charles, sio mwadilifu kabisa katika nyanja zote - ni mmoja wa wamiliki wa Infosys. Wizi mtupu. Naibu waziri mawasiliano na sayansi na Teknlojia!
Kichwa habari kizuri sana, nilifikiri unaandika jinsi wabunge wa Chadema kila mmoja alivyoenda bungeni na wake. Kama siyo mke basi ni mtoto au mkwe au hawara na limahamsha hasira sana kwa sisi wanawake wa Chadema. Tume ya uchaguzi imekaa kimya wala haikemei jambo hilo la vigogo Chadema kuchakachua hilo.
Anarudi tena, hivi uadilifu wa mtu unapimwa kwa umasikini?.
Infosys ni moja ya makampuni yenye mafanikio makubwa kutokana na kuwa ndio sole agent wa Dell, na miradi yote inayofadhiliwa na Benki ya Dunia, computers lazima ziwe Dell.
Nijuavyo mimi, Kitangwa ni mmoja wa wakurugenzi, yeye ni mwajiriwa wa BOT. Kaka yake ni Singili mwenye Azania Bank, jamaa wana mafanikio sana kwenye kila wanapokanyaga, hebu angalieni lile jengo lao pale Msasani Beach lilivyo kivutia!.
Hakuna ubishi, Tanzania ni nchi masikini, na Watanzania wengi tunaishi kwa lindi la umasikini uliotopea, hii isitufanye kijenga chuki na kila mwenye nacho, simply because wengine hatuna.
Naamini mafanikio ya Infosys sasa yanahamishiwa pale wizarani.
kichwa habari kizuri sana, nilifikiri unaandika jinsi wabunge wa chadema kila mmoja alivyoenda bungeni na wake. Kama siyo mke basi ni mtoto au mkwe au hawara na limahamsha hasira sana kwa sisi wanawake wa chadema. Tume ya uchaguzi imekaa kimya wala haikemei jambo hilo la vigogo chadema kuchakachua hilo.
chadema kila mtu bungeni ameenda na ukoo wake , hasa hasa wakina ndesamburo, mbowe nk. kila mtu ametoa viti maalum kwa watoto wake, wakwe, wajomba n. Hiki ni chama cha siasa kweli au kikabila? kweli 'kila mtu na wake kwa chadema'