Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
- Thread starter
-
- #21
Ndio tatizo lenu wabongo, msimjue mtu hata kidogo inakuwa nongwa. Kama aliweza kuanzisha kampuni na ikasimama na kutoa ajira basi anafaa manake kuna babu zenu wako bungeni toka uhuru lakini hawana hata duka la kuajiri watu wawili na katika payroll wanaondoka na 7digits kitambo.
Mapungufu kila mtu anayo hata wewe unayo, lakini isiwe ndio sababu ya kusimamia vidole gumba kuleta utata.
changia mada. usianzishe mada ndani ya mada.
peleka madai yako kwenye jukwaa la udaku.
hapa tunajadili ishu sirias
chadema kila mtu bungeni ameenda na ukoo wake , hasa hasa wakina ndesamburo, mbowe nk. kila mtu ametoa viti maalum kwa watoto wake, wakwe, wajomba n. Hiki ni chama cha siasa kweli au kikabila? kweli 'kila mtu na wake kwa chadema'
Ni mtu wa hongo.
mtu wa mlungula
mtu wa kitu kidogo
alikuwa mwenyekiti wa ERB pamoja na kwamba kampuni yake ametimua wahandisi wote wenye akili na uwezo.
alikuwa mwenyekiti wa ERB lakini muda wote kulikuwa na hadithi za kweli za maghorofa kuvunjika. yeye ilimradi umpe kitu kidogo poa tu. hata ujenge ghorofa kwa nondo za fito au kwa matope poa tu.
Tz tumekwisha.
Hizi ni chuki binafsi tu hapa. wivu na uzushi. Jerusalemu acha hizo. Tuletee mawazo ya kujenga nchi sio ulalamishi tu!!!!! you are expected to be a great thinker...!!!
chadema kila mtu bungeni ameenda na ukoo wake , hasa hasa wakina ndesamburo, mbowe nk. kila mtu ametoa viti maalum kwa watoto wake, wakwe, wajomba n. Hiki ni chama cha siasa kweli au kikabila? kweli 'kila mtu na wake kwa chadema'
Mbona sielewi ,haya yanaingiaje hapa jamani? Duh!!!!
sijakuelewa... umeandika kama vile wote tuko kichwani mwakoNakumbuka sana. JK wakati anaanza kuitwa Rais (kwa sifa na majivuno, si kwa utendaji) alijigamba serikali yake 'haina ubia na mtu'. akaendelea zaid kusema ufike wakati wa 'kutenganisha biashara na siasa'
Sass huyu JK? Vipi?
Mbona Kitwanga aka Mawe Matatu ni mfanya biashara? Mbona amempa uwaziri? Au ndiyo kupozana? Kwa sababu 2005 alimwagwa kwenye kura za maoni?
Eeeh? Nauliza.
JK huyuhuyu hivi majuzi alikuja na staili ya kuwa atatuchagulia mawaziri 'waadilif na wachapakazi'. Vipi? Mbona Kitwanga siyo muadilifu? Mtu aliyevuruga kampuni aliyoanzisha na wenzake anafaa vipi kuwaongoza WaTz? Amesababisha kampuni kupoteza ma-Engineer na kupoteza wateja wakubwa kama NMB? Amesababisha mmoja wa wakrugenzi walioanzisha kampuni kujitoa licha ya mkurugenzi huyo kusaidia kupiga debe k=kampuni kupewa hadhi ya kuwa wakala wa DELL Tanzania? Kama ameshindwa kuongoza kampuni ya watu wasiozidi 100 ataweza Wizara inayotazamwa na WaTz 4 000 000?
Kama kuna uteuzi wenye utata uliofanywa na JK ni huu wa kumpa Kitwanga wizara. Ni urafiki na kujuana tu. Amempa ili iwe rahisi kupata tenda za kuuza computer za DELL kwenye taasisi za serikali....siasa na biashara damdam.
Hapo tu huwa simuamini JK.
kichwa habari kizuri sana, nilifikiri unaandika jinsi wabunge wa chadema kila mmoja alivyoenda bungeni na wake. Kama siyo mke basi ni mtoto au mkwe au hawara na limahamsha hasira sana kwa sisi wanawake wa chadema. Tume ya uchaguzi imekaa kimya wala haikemei jambo hilo la vigogo chadema kuchakachua hilo.
Anarudi tena, hivi uadilifu wa mtu unapimwa kwa umasikini?.
Infosys ni moja ya makampuni yenye mafanikio makubwa kutokana na kuwa ndio sole agent wa Dell, na miradi yote inayofadhiliwa na Benki ya Dunia, computers lazima ziwe Dell.
Nijuavyo mimi, Kitangwa ni mmoja wa wakurugenzi, yeye ni mwajiriwa wa BOT. Kaka yake ni Singili mwenye Azania Bank, jamaa wana mafanikio sana kwenye kila wanapokanyaga, hebu angalieni lile jengo lao pale Msasani Beach lilivyo kivutia!.
Hakuna ubishi, Tanzania ni nchi masikini, na Watanzania wengi tunaishi kwa lindi la umasikini uliotopea, hii isitufanye kijenga chuki na kila mwenye nacho, simply because wengine hatuna.
Naamini mafanikio ya Infosys sasa yanahamishiwa pale wizarani.
Mkuu Pasco,jengo zuri lililopo Msasani Beach ni Info-tech House...linamilikiwa na Mufuruki... Hilo la Infosisy ni lipi?
kumbe ni mali ya mtu, nilikuwa nazani ni ya serekali.
Jerusalemu, sina maslahi yoyote binafsi na Kitwanga, nimekuelimisha tuu kuwa yeye ni muajiriwa BOT, tafuta track record yake kazini kwake. Infisys ni mradi tuu na ulikuwa na waendeshaji.wewe una maslahi binafsi na kitwanga.
kama angekuwa na hizo sifa unazompatia asingepoteza mktaba na nmb
kama angekuwa na hizo sifa unazompatia asingepigwa chini kura za maoni mwaka 2005. kwa vyovyote vile safari hii katoa mlungula kupenya kura za maoni, siyo kama anakubalika.
awe na pesa asiwe nazo is none of our business.
where are the morals?
Nakumbuka sana. JK wakati anaanza kuitwa Rais (kwa sifa na majivuno, si kwa utendaji) alijigamba serikali yake 'haina ubia na mtu'. akaendelea zaid kusema ufike wakati wa 'kutenganisha biashara na siasa'
Sass huyu JK? Vipi?
Mbona Kitwanga aka Mawe Matatu ni mfanya biashara? Mbona amempa uwaziri? Au ndiyo kupozana? Kwa sababu 2005 alimwagwa kwenye kura za maoni?
Eeeh? Nauliza.
JK huyuhuyu hivi majuzi alikuja na staili ya kuwa atatuchagulia mawaziri 'waadilif na wachapakazi'. Vipi? Mbona Kitwanga siyo muadilifu? Mtu aliyevuruga kampuni aliyoanzisha na wenzake anafaa vipi kuwaongoza WaTz? Amesababisha kampuni kupoteza ma-Engineer na kupoteza wateja wakubwa kama NMB? Amesababisha mmoja wa wakrugenzi walioanzisha kampuni kujitoa licha ya mkurugenzi huyo kusaidia kupiga debe k=kampuni kupewa hadhi ya kuwa wakala wa DELL Tanzania? Kama ameshindwa kuongoza kampuni ya watu wasiozidi 100 ataweza Wizara inayotazamwa na WaTz 4 000 000?
Kama kuna uteuzi wenye utata uliofanywa na JK ni huu wa kumpa Kitwanga wizara. Ni urafiki na kujuana tu. Amempa ili iwe rahisi kupata tenda za kuuza computer za DELL kwenye taasisi za serikali....siasa na biashara damdam.
Hapo tu huwa simuamini JK.
wewe una maslahi binafsi na kitwanga.
kama angekuwa na hizo sifa unazompatia asingepoteza mktaba na nmb
kama angekuwa na hizo sifa unazompatia asingepigwa chini kura za maoni mwaka 2005. kwa vyovyote vile safari hii katoa mlungula kupenya kura za maoni, siyo kama anakubalika.
awe na pesa asiwe nazo is none of our business.
where are the morals?
Jerusalemu tuchambue hoja hoja kwa hoja. Hujasema kwamba huyu bwana Kitangwa amesababishaje hadi hao ma-engineer kuondoka, je sababu ya uongozi wake mbaya, au yeye alikuja na sera ya kubana matumizi kwa hiyo hao ma-engineer wakaamua kuondoka baada ya kuona mafao haya toshi?
Kitu ambacho mtoa hoja anatakiwa kufahamu kwenye hizi kampuni zinazofanya kazi za aina hii ya infosisy, hawa ma-engineer wanaweza wakawa wanafanya contact na wateja nje ya utaratibu wa kampuni japo huwa wanatumia vifaa vya ofisi, hapo wao wanapata mapato zaidi lakini kwa upande huo huo wanmaumiza kampuni. Sasa anapokuja meneja mpya na akaziba huo ufa, automatically wale waliozoea tabia hiyo lazima watakimbia sababu mifereji yao imeziba kwa hiyo kukimbia kwa ma-engineer baada ya kuingia meneja mpya sio kipimo sahihi cha ubovu wa Meneja.
Ni vema mtoa mada kwa sababu unaonekana unamfahamu vizri huyu jamaa ungeainisha weziwazi wapi ulipo ukosefu wa maadili kwa huyu jamaa mteule wa rais
kama kuna kampuni inaongoza kwa ku-hire na ku-fire mameneja, hakuna nyingine. ni hii ya mawe ma3. muulizeni kati ya 2000 na 2010 kaajiri mameneja wangapi? ana kauli mbiu yake: "we can hire anybody by any cost".
siyo kiongozi wa kustahili kupewa uwaziri.
hapo ninadiriki kumkosoa JK nikiwa kifua mbele.
JK inabidi anisikilize. kama alivyosikiliza maoni ya wadau. akamtosa mama meghji ishu ya uwaziri. licha ya kumbatiza jina la 'mwanamke chuma'. hata mimi ni mdau. JK nisikilize.
kama kuna kampuni inaongoza kwa ku-hire na ku-fire mameneja, hakuna nyingine. ni hii ya mawe ma3. muulizeni kati ya 2000 na 2010 kaajiri mameneja wangapi? ana kauli mbiu yake: "we can hire anybody by any cost".
siyo kiongozi wa kustahili kupewa uwaziri.