Mwenye CV ya Charles Kitwanga (Kipengele cha Education) anipe

Status
Not open for further replies.

Wahindi? Wabongo?

Sasa hayo yanatoka wapi? Acha ukabila. U-rangi.

Yaani kujiengue kwa director aliyetoa mchongo wa kampuni ya mawe ma3 kuwa agent wa DELL ni suala la kawaida? Tena kwa sababu ya huyu huyu mawe ma3? wewe vipi? unaijua kampuni ya mawe ma3 kwa nje? kwa kuangalia majengo? ukiwa unakunywa juice pale chini. basi. ndani hujui. nyamaza. tuongee tuliowahi kuingia ndani ya kampuni ya mawe ma3.
 


chuki binafsi
 
Hapa naona issue ya kujadili ni conflict of interest kati ya bishara yake na kampuni yao, otherwise kama ni utendaji kama waziri it wont be fair kusema hafai wakati ndio kwanza ameteuliwa. To me Infosys ni kampuni ya kibongo yenye mafanikio
 
chuki binafsi

nina vitu vingi vya kufanya kuliko kufanya chuki binafsi.

weka kwenye kumbukumbu yako.

waTZ wekeni kwenye kumbukumbu.

kama jk angekuwa anaanza mawe ma3 angewasamehe waTz. Lakini kwa kuwa hii ni ngwe ya mwisho ya swahiba wake. basi tutarajie neema kwa kampni ya mawe ma3 na kilio kwa waTz.
 

Taarifa zaidi zinahitajika ku backup uliyoyasema , la sivyo yatakuwa matatizo yako binafsi na mhe.
 
Hapa naona issue ya kujadili ni conflict of interest kati ya bishara yake na kampuni yao, otherwise kama ni utendaji kama waziri it wont be fair kusema hafai wakati ndio kwanza ameteuliwa. To me Infosys ni kampuni ya kibongo yenye mafanikio

I concur with you.
 

hahaha, kumbe ulifanya kazi hapo Infosys!!, Inaonyesha una chuki binafsi baada ya kufukuzwa kazi. Kama ulifukuzwa kazi pole! ila siwezi kukuita goigoi au mzembe kwa sababu sifahamu sababu zilizosababisha wewe kufukuzwa kazi. At the same time tusimhukumu mawe 3 kwa partner mmoja kuondoka au kuondolewa sababu hatukuwepo kwenye partner's meeting iliyomwondoa na naamini haki zake zote atapewa. For your info parner mmoja hawezi kumfukuza mwingine lazima wote wakubaliane.

Kumbe unapenda wahindi ndiyo pekee watawale soko la IT, it shows how primitive you are. My aim ni kuona wabongo wengi nao wapate fufsa ya kumiliki makampuni ya IT na sina maana nyingine.

So just shut up and stop the non sense
 

Soko la ajira liko huru mtu anaweza kuajiriwa popote, mmoja wa waanzilishi wa facebook amejiondoa hivi karibuni na kuanzisha kampuni yake , kwa maana hiyo director kuondoka si jambo la ajabu ni kawaida maana anaweza kuwa na vision tofauti ambayo anataka kuiendeleza.
 

Wewe ndugu mwache tu huyo abwabwaje hana analolijua! pengine ni mdogo wake na Kitwanga. jamaa yule kwa kutoa mlungula hajambo hata kwenye hizo kura za maoni za mwaka 2005 alitoa sana mlungula lakini akabwagwa mwaka huu ndo sijui itakuwa alitoa zaidi. Mpaka jamaa yake mmoja akawa analalamika kuwa kama una pesa nyingi hivyo za kumwaga si ufanye mambo mengine uachane na siasa? Sasa ngoja ufisadi uhamishiwe wizarani mwaka huu tutakomi!!!!!
 

kwa mara ya kwanza nimepata mdau mwenye hoja.

WaTz ni wagumu sana wa kuelewa.

Wanaambiwa CCM haifai. wao hawaamini tu.

kila wanachoambiwa wao wanaona uongo.

kwa sababu walishazoea kudanganywa na CCM.

lakini sawa.

mambo yote yatapita. lakini neno litasimama.

na hili ni neno: mawe ma3 amepewa wizara kuvuna tu. siyo kuongoza. tunamfahamu.
 
Haya ni majungu... kampuni iko njema na the guy is doing good

kama una jingine sema

nimeandika na wanaonijua si mwana ccm
 
kwa uwaziri sijui ila kwa UBUNGE OMAR NUNDU ANASTAHILI Kuwa mbunge wa tanga mjini kwa mambo aliyoyafanya angali akiwa si mbunge labda abadilike akiwa huko mjengoni ila ni mtu mwenye uchungu na mkoa wake wa tanga. kabla hajawa mbunge alikuwa na harambee ya kutafuta wafadhili na kusaidia katika swala zima la ELIMU mkoani tanga! alipokuwa canada alikuwa ni moja nafikiri wa waanzilishi wa Aluminis wa USAGARA SECONDARY SCHOOL! mwisho wake waka fungua organization inaitwa Tanga (Tanzania) Education Support Association
hii ndio web site yao TESA - Usagara School Donation Project | TESA Objectives ... katika contact list kuna e-mail yake unaweza ukamtumia kumuuliza CV yake MZEE OMAR RASHID NUNGU
 
Lakini unakiri kimsingi kuwa jamaa siyo muadilifu, kinyume na tulivoahidiwa na JK

Ulipaswa kuwaambia wananchi wakati wa kampeni , kusema sasa huwasaidii wananchi waliomchagua badala yake inaonekana majungu
 

Acha kupotosha UMMA weewe mbona kama una wivu hivi???? Sio ERB ni CRB mbona huwelewi tofauti ya mkandarasi na Engineer??? Wewe ni mwongo tena saaaana... Kama wadau hamwamini nisemacho hebu chekini ERB na CRB halafu mtaniambia kuwa wahandisi kwenye CRB wanatokea wapi??? Acha unafiki ndugu... Kitwanga anatufaa tena sana... Mzee mchapakazi ndio maana INFOSYS inang'ara mpaka leo....
Nyambafu
 
it is unfortunate kwamba jamaa amepata bahati na katika wanaomtetea ni wewe

to me you are nothing but a Muppet

Mnafiki na mwingi wa pesa mbele.... hata kama jamaa anastahili, but you would be the last to say a word

Pasco... wewe u traitor
 
Waziri charles kitwanga ni binadamu anahangaika kupata maslahi, ambayo ni kwa kuajiriwa na biashara. sasa sioni tatizo la yeye kupata ubunge na kuwa waziri maana kama elimu anayo, uzoefu anao, mbali na kampuni yake amefanya kazi bot, amekuwa mwenyekit wa crb.
cha msingi ni yeye kuwa commited na kazi aliyopewa then baada ya mwaka tumfanyie assessment badala ya kulalama kwani inakuwa kama ni chuki binafsi. Mimi ulisema LUKUVI kwenye cabinet naweza kuungana na wewe maana elimu yake ni ndogo sana maana the highest qualification ni cheti cha ualimu wa shule ya msingi, na vi-short kozi, hivyo uwezo wake wa kuchambua mambo ni finyu ukiacha uzoefu wa siasa ambao si tiza kwa maendeleo ya nchi
 
Jerusalem, kweli wewe unaonekana ni Engineer uliyeajiriwa Infosys na utendaji wako ulikuwa wa kubabaisha jamaa walipokukamata na Dell ume-iba wakakutimua. Badili Tabia na si kumvalia njuga Boss wako wa zamani.

Mbona list ya wageni ipo ndefu tuu kwenye Baraza, wao ni watakatifu au kutimuliwa kwako kwa uzembe wako ndio shida.

Sasa sikia Kitwanga aliteuliwa kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mifumo ya Computer BoT akiwa na umri mdogo kuliko yeyote Pale BoT. Ameweza kutengeneza network ya Branches zote BoT toka 1997, Computerization Level ya BoT ipo juu... Jamaa ni Kichwa. BoT wanamuombea mafanikio sana aendako pamoja na kulia kumkosa mpiganaji wao . Sasa ni saa ya kulikiomboa Taifa. Yeye mwenyewe hawezi tukimsaidia tutafika mbali. Ila kwa mtu kama wewe yerusalem ukikaa nae hata wazo dogo alilo nalo halitazaa matunda unaonekana wewe ni uzao wa Nyoka
 
Naomba nitoe ufafanuzi. Nahusika na issues za Dell sana. Authorised Agents hapa TZ walikuwa watatu mmoja kafutwa wamebaki Infosys na Simply Computers.
 
Huyu Jerusalem post yake imekaa kimajungu zaidi. na hasa ikimsakama Kitwanga. Kama kweli alikuwa mwajiriwa wa Infosys halafu akafukuzwa haifai kumalizia chuki humu. Vema kuangalia mbele utafanikiwa tu. Kwa sasa Kitwanga kisha fanikiwa labda aharibu mwenyewe.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…