Mwenye CV ya Mashalove na Ester Dalali tafadhali

Mwenye CV ya Mashalove na Ester Dalali tafadhali

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,150
Reaction score
3,225
Wakuu natumaini mu wazima.

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, naomba mwenye CV ya hawa wadada wa Daresalaam atupe.

Kijuu juu Masha Love ni dancer mwenye nyonyo nzuri lakini ni balozo wa bidhaa mbalimbali, Ester nae ni mfanyabiashara wa dagaa na vipodozi ingawa sifahamu kama ni dalali. Nimeskia Wana sakata polisini, sasa ni nani haswa kwa undani??
 
Kwa mujibu wa duru za kiumbea inadaiwa serikali ilianzisha kampeni ya kukamata wanawake wanaocheza kibao Kata, hii kampeni imeingia Hadi mitaani huko wanakamata wale wanaovaa Madera na kutikisa makalio kwenye singeli....sasa Masha love akakamatwa as wanaendeshaga vibao Kata na wanauza wasichana huko kwenye vibao Kata.
Naona alivyokamatwa akataja wenzie na akaropoka yoteeee....na za chini ya kapet zinasema yeye ni punda wa Ester...labda kamtaja.
 
Fanyakazi kwa bidii mpaka kila mtu awe anataka kupiga picha na wewe

FB_IMG_1654395937057.jpg
 
Kwa mujibu wa duru za kiumbea inadaiwa serikali ilianzisha kampeni ya kukamata wanawake wanaocheza kibao Kata, hii kampeni imeingia Hadi mitaani huko wanakamata wale wanaovaa Madera na kutikisa makalio kwenye singeli....sasa Masha love akakamatwa as wanaendeshaga vibao Kata na wanauza wasichana huko kwenye vibao Kata.
Naona alivyokamatwa akataja wenzie na akaropoka yoteeee....na za chini ya kapet zinasema yeye ni punda wa Ester...labda kamtaja.
Daaa. Yani hawa wauza vipodozi wa dar matajiri Sana, kutwa bata kwenye mahotel makubwa, kumbe wana mambo mengine
 
Daaa. Yani hawa wauza vipodozi wa dar matajiri Sana, kutwa bata kwenye mahotel makubwa, kumbe wana mambo mengine
Mkuu
Lazima uwe na pakumjibia polisi kabla hajajua mengine

Mfano unakesi ndogo polisi akikuuliza kwann unazurula mudahuu haraka unajibu mie nimetoka kazini kazini wapi naduka la vipodozi
 
Back
Top Bottom