GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Haiwezekani kila akipandisha tu Timu Ligi Kuu basi anafukuzwa.
Kaipandisha Singida United mwaka jana tena kwa taabu sana baadae wakamfukuza hakukata tamaa akajiunga na Timu nyingine na mwaka huu tena ' Mtani ' wangu huyu wa Kihaya Kocha mzoefu na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC na Timu ya Taifa Fred Felix Minziro Kataraiya Majeshi ametoka kuipandisha Ligi Kuu kwa taabu kweli kweli Timu ya Manispaa ya Kinondoni ( KCMC ) na hatimaye leo ' ametemwa ' na sasa hajui nini cha kufanya.
Je kama ni ' nuksi ' hii aliyonayo Kocha Minziro itakuwa inaitwaje? Na je hakuna Mtu yoyote ambaye anajua Dawa nzuri ya kuondoa hii ' nuksi ' inayomuandama kila mwaka Kocha Minziro?
Nawasilisha.
Kaipandisha Singida United mwaka jana tena kwa taabu sana baadae wakamfukuza hakukata tamaa akajiunga na Timu nyingine na mwaka huu tena ' Mtani ' wangu huyu wa Kihaya Kocha mzoefu na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC na Timu ya Taifa Fred Felix Minziro Kataraiya Majeshi ametoka kuipandisha Ligi Kuu kwa taabu kweli kweli Timu ya Manispaa ya Kinondoni ( KCMC ) na hatimaye leo ' ametemwa ' na sasa hajui nini cha kufanya.
Je kama ni ' nuksi ' hii aliyonayo Kocha Minziro itakuwa inaitwaje? Na je hakuna Mtu yoyote ambaye anajua Dawa nzuri ya kuondoa hii ' nuksi ' inayomuandama kila mwaka Kocha Minziro?
Nawasilisha.