masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Msaada, ni vitu gani vinaitajika humo dukani? Kuanzia ni mtaji bei gani, na ni bora kuagiza mtandaoni au nje ya nchi? Je, ukinunua hapa hapa ndani na wewe kuuza faida zipoje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shukraniBiashara nzuri sema unahitaji uwe na fundi piki piki hapo nnje
ambae atakua anatengeneza piki piki za wateja
more info : onana na madereva boda boda
Asante sana mkuuKuhusu vifaa onana na mafundi pikpik ,,watakuambia vifaa gani uweke dukan maana wao wanajua ,kingine angalia zone uliyopo pikipik gan wanazopendelea watu ili uwaletea vifaa vinavyohusiana na pikpik hyo,,, kuna zone watu weng wanatumia boxer ,so inabid dukan uweke vifaa ving vya boxer