Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakuombeaHata kama gari ina cc 500, bado wapewe heko wenye nayo, huu mwezi wa tisa umekua na jua kali balaa, na linanipiga vilivyo, ifike hatua sasa nitafute hata ya mil 3.5 kwakweli, jua litaniua
Sasa inakuaje mkuu? Jua limekua kali sana, natafuta vits isio na mbwembwe
Mbona yapo mazuri tu kwa bei hiyoKwa gari la 3.5m utaamua kulitembelea siku nne huku siku tatu zilizobaki uliache garage[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtego😂Mbona yapo mazuri tu kwa bei hiyo
Mbona yapo mazuri tu kwa bei hiyo
Mtego kivip mbona zipoMtego😂
Wewe tu lipo nichek pm 😎Mmmhh kaka dalali[emoji23]
Siwezi pata la 2m hivi
AnapataTafuta hela upate gari la maana,3.5m unajitafutia stress bure!
Spana mkononi hatua 2 lipo garage kila siku linakuja kugongwa gongwa na fundi ndio linawaka bila hivyo Ngoma ngumuAnapata