Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,058 Reaction score 2,195 Oct 12, 2011 #1 wadau kuna mtu yuko kijijini na amechaguliwa kujiunga cbe-dodoma,naomba mwenye joining ya cbe anitumie hapa
wadau kuna mtu yuko kijijini na amechaguliwa kujiunga cbe-dodoma,naomba mwenye joining ya cbe anitumie hapa
Likwanda JF-Expert Member Joined Jun 16, 2011 Posts 3,922 Reaction score 1,149 Oct 12, 2011 #2 Senetor said: wadau kuna mtu yuko kijijini na amechaguliwa kujiunga cbe-dodoma,naomba mwenye joining ya cbe anitumie hapa Click to expand... Check Ktk website yao utaipata mkuu.
Senetor said: wadau kuna mtu yuko kijijini na amechaguliwa kujiunga cbe-dodoma,naomba mwenye joining ya cbe anitumie hapa Click to expand... Check Ktk website yao utaipata mkuu.
T The Priest JF-Expert Member Joined Dec 8, 2010 Posts 1,029 Reaction score 258 Oct 12, 2011 #3 Wanachuo wa CBE wengi wako facebook hapa ni nadra sana kuwapata!
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 23,566 Reaction score 24,891 Oct 12, 2011 #4 Senetor said: ... naomba mwenye joining ya cbe anitumie hapa Click to expand... Joining ndio nini na mimi mnipe?
Senetor said: ... naomba mwenye joining ya cbe anitumie hapa Click to expand... Joining ndio nini na mimi mnipe?
Leonard Robert JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 11,125 Reaction score 7,373 Oct 12, 2011 #5 wa CBE watakuja mkuu,ingawa si wengi.
Mzee JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,602 Reaction score 5,809 Oct 12, 2011 #6 Kwani ni lazma uje jf?. Kama unashindwa kuangalia kwenye website yao nenda chuoni kwao.
Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,058 Reaction score 2,195 Oct 12, 2011 Thread starter #7 Mzee said: Kwani ni lazma uje jf?. Kama unashindwa kuangalia kwenye website yao nenda chuoni kwao. Click to expand... jaman,nimeenda kwenye web yao nkaona haifunguki ndo nkaamua kuja huku kwa wadau,kama huna msaada bora ukae kimya tu mkuu.
Mzee said: Kwani ni lazma uje jf?. Kama unashindwa kuangalia kwenye website yao nenda chuoni kwao. Click to expand... jaman,nimeenda kwenye web yao nkaona haifunguki ndo nkaamua kuja huku kwa wadau,kama huna msaada bora ukae kimya tu mkuu.